Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Je Unaifahamu kampuni ya Apple?#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Kwao mteja kwanza, na si vinginevyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Unaifahamu kampuni ya Apple?#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Sheria za US na Tanzania zinafanana?Je Unaifahamu kampuni ya Apple?
Kwao mteja kwanza, na si vinginevyo.
Mbona Jamii forum hawakutoa taarifa za mteja wao walipotakiwa kufanya hivyo na wezi wa ccm?Yani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi, maana kama ushahidi mzuri wa kuthibitisha makosa ulikuwa unapatikana huko, huwezi kuuacha kwa kigezo cha privacy.
Ningeona wamefaya makosa kama wangefatilia taarifa za siri ambazo hazihusiani kabisa na makosa anayokabiliwa nayo mtuhumiwa, kosa ni kosa tu liwe ni la kifichoni au la wazi.
Nadhani ni kwakua inang'ata kwao ndomaana hawakutaka taarifa za uovu wa jamaa yao zivujishwe.Angekuwa ni Sabaya hapo, ungeona hoja tofauti kabisa kwenye mitandao.
Sheria za US na Tanzania zinafanana?
Hapa ni matakwa ya kisheria na sio Kampuni inataka nini
Imagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja!🚶🚶🚶
View attachment 1995874
Huyo jamaa naona kaamua kuihujumu tigo maana wateja kina sisi ndiyo tusha hamaWakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.
Hilo limethibitishwa leo na Wakili Msomi Fred Kapara, ambaye ni Wakili wa Kampuni ya Tigo, alipoulizwa Mahakamani wakati akitoa ushahidi katika kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake wanne, kwamba kati ya Utii kwa mamlaka na Usiri wa taarifa za wateja kipaumbele kwao ni nini, bila kupepesa macho akajibu Utii (Compliance) kwao ndiyo kipaumbele (Priority) zaidi.
Sasa majibu ya kwanini kumekuwepo na uzimaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii na kupanda mara dufu kwa gharama za bando za data yameshapatikana. Sababu kubwa ni kwamba huko kwenye hizo social networks zingine kwao Privacy za Wateja ndiyo Priority hivyo mamlaka zitashindwa kupata kile wanakitaka kwa urahisi.
Hii kesi mpaka waje wamalizike mashahidi wote 24 tutakuwa tumeshapata siri nyingi sana ambazo raia wa kawaida tulikuwa tunafichwa.
View attachment 1995845
Unataka kufananisha Jf na Tigo au mitandao mingine ya simu?Mbona Jamii forum hawakutoa taarifa za mteja wao walipotakiwa kufanya hivyo na wezi wa ccm?
Umehamia wapi bwashee? Voda, Airtel ,Halotel au?Huyo jamaa naona kaamua kuihujumu tigo maana wateja kina sisi ndiyo tusha hama
Wew mburula Kingai huna ujualo kaa utulie Kibwetele. Huyo wakili kihiyo wa tigo amekiri Mahakamani kuwa hakuna barua aliyopewa na polisi inayo omba afanye uchunguzi kwa kosa fulani. Na hata yeye barua aliyo ijibu pia haioneshi kuwa amechunguza na kubaini makosa hayo.Yani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi, maana kama ushahidi mzuri wa kuthibitisha makosa ulikuwa unapatikana huko, huwezi kuuacha kwa kigezo cha privacy.
Ningeona wamefaya makosa kama wangefatilia taarifa za siri ambazo hazihusiani kabisa na makosa anayokabiliwa nayo mtuhumiwa, kosa ni kosa tu liwe ni la kifichoni au la wazi.
Nadhani ni kwakua inang'ata kwao ndomaana hawakutaka taarifa za uovu wa jamaa yao zivujishwe.Angekuwa ni Sabaya hapo, ungeona hoja tofauti kabisa kwenye mitandao.
Fake idUnataka kufananisha Jf na Tigo au mitandao mingine ya simu?
Huku tunatumia fake IDs wakati kule kwenye huduma za simu tunatumia taarifa kamili(halisi), hizo ni scenario mbili tofauti kabisa.
Jf inaweza kukana kuwa haimjui mtu fulani(except for verified members), lakini Tigo wanawezaje, Ikiwa inajukana kuwa Mbowe ana line ya Tigo??
Wewe ni MJINGA unajua utaratibu wakupata hayo mawasiliano kwa mhalifu...sheria simmetunga wenyewe kama hamzitaki kwanini msizifuteKwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Acheni huu UJINGA issue sio kupata hizo taarifa sheria mlizopitisha wenyewe kwanini hamzifuati unajua utaratibu mpaka wakupata hizo taarifa?Unapo anzisha kampuni unapewa vigezo na masharti na regulatory body husika namna ya kuendeha shughuri zako.
Sasa kama kutoa ushahidi/kielelezo kwa jamhuri juu ya no. fulani ya simu n moja ya requirement na ulishakubali unapoanzisha kampuni unazani tigo wafanye nn?
Tatizo sio tigo tatizo n mamlaka zetu ndo za hovyo.
Na watu mnachanganya sna kati ya hizi social networks na Makampuni ya simu. Kungekua na usiri kama mnavodhania watu wasingekua wana lazimika kusajiri laini kila kukicha
Sasa wewe, iwapo mtu na genge lake wanataka kupindua nchi, raia mwema akatoa siri na achilia mbali kampuni zikagundua kuna mpango wa kufanya vitendo viovu. Ina maana hiyo kampuni ya mawasiliano ikae kimya kisa eti wana linda siri za mteja?? kweli nyumbu mumechanganyikiwa. Mr DJ ni gaidiImagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja!🚶🚶🚶
View attachment 1995874
Asee Nchi hii kuna majitu majinga sana yasamehe bure tuMbona Jamii forum hawakutoa taarifa za mteja wao walipotakiwa kufanya hivyo na wezi wa ccm?
Huyu atakuwa mamluki ametumwa kuua kampuni ya watuWakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.