MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Hawa wakimbizi wa Kiarabu pande za Lebanon na Gaza ni tofauti kidogo na hawa wa kwetu huku Congo.
Hawa waarabu wanaonekana kila siku wanaoga, nguo safi na wanaonekana wanakula kila siku.
Wakimbizi wa Congo malnutrition inaonekana hata ukiwa km 10, watoto wazee wote wamekonda kabisa. Maji ya shida, usafi hamna.
UNHCR iweke nguvu nyingi huku Afrika. Kwa kila sh. 10 inayotoka, sh 6 ielekezwe Congo, inayobaki igawanywe Mashariki ya Kati na Ukraine.
Hawa waarabu wanaonekana kila siku wanaoga, nguo safi na wanaonekana wanakula kila siku.
Wakimbizi wa Congo malnutrition inaonekana hata ukiwa km 10, watoto wazee wote wamekonda kabisa. Maji ya shida, usafi hamna.
UNHCR iweke nguvu nyingi huku Afrika. Kwa kila sh. 10 inayotoka, sh 6 ielekezwe Congo, inayobaki igawanywe Mashariki ya Kati na Ukraine.