lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Hivi wakina dada hizo lipstick huwa zina nini aisee maana tukiwakiss huwa tunahara kweli, yaani unakuta bidada kajikandika lipstick kama karai la kuchamganyia udongo mfinyanzi!
Utasikia Just kiss me hiyo ni dry haitoki, WTF, mwishowe mnatupaka kwenye mashati yetu bila mpangilio.
Weka hizo mambo kiasi bwana,ikiwezekana pakeni tu hata Lip bam.. Tutawapenda tu
NB:Mimi simuelewi mwanamke anaejikwetua na mpaka hayo madude kwa wingi.
Kama hili[emoji116]
Ila hapa aah swaafi[emoji116]
Utasikia Just kiss me hiyo ni dry haitoki, WTF, mwishowe mnatupaka kwenye mashati yetu bila mpangilio.
Weka hizo mambo kiasi bwana,ikiwezekana pakeni tu hata Lip bam.. Tutawapenda tu
NB:Mimi simuelewi mwanamke anaejikwetua na mpaka hayo madude kwa wingi.
Kama hili[emoji116]
Ila hapa aah swaafi[emoji116]