Wakina dada mnaozidisha lipstick siwaelewi kabisa

Wakina dada mnaozidisha lipstick siwaelewi kabisa

Sasa kosa langu nini kiongozi kuomba picha yako Tuone jinsi unavyohara mkuu...?

Si nataka kuhakikisha tu yaliyosemwa nawe kwenye uzi wako mkuu.

Ahsante.
Ntapiga mkuu
 
Kuna lipstic hata ukila denda kaitoki wakuu,imeganda pale pale
 
Wanakuwa kama vidoli yani unakuta mdada mweusi mzuri ila sasa kapaka lipshine kawa kama monkey in the jungle
 
Back
Top Bottom