Amedanganya wapi?Thibitisha uongo wake!Muongo tuu wee mtoa mada
Mi nikionaga id yako nakumbuka mguu wako nacheka sina mbavu...Mnaboaaaa
Mmmh jaman huyo dada pole yake nahisi atakuwa kachezewa na wachawi how possible itokee kwake tu wanaopaka lipstick ni wengi sana mbona..!!
ha ha ha ni taarifa tu jameni yani kila nkiona id yako mi sina mbavuHahaha wacha uchochezi we mwana Dada
Yale yalipita.
Unataka kuniteka?Bado upo njombe?
Hamna,nikuteke ili nipate faida ganiUnataka kuniteka?
Sawa mkuuHamna,nikuteke ili nipate faida gani
Nimekumbuka ule uzi una vitukoMi nilielewa pozi la kwenye kochi
Dinazarde ndo alielewa mguu