bilioni100
Member
- Jun 8, 2023
- 85
- 94
tuone kidogo pichaHapa unaniongelea mimi kabisa.Nimekata nywele na sipaki makeup.
Hapa hapana.t
tuone kidogo picha
That's superb! Mungu aendelee kuwaweka. Mnatubariki sana❤️♥️Hapa unaniongelea mimi kabisa.Nimekata nywele na sipaki makeup.
Utanitumia TU inbox nisuuzike moyo mie🤣Hapa hapana.
Hii kopo yenu nimeipenda🤣🤣🤣 mtafika mbali🤣[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8] [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hii kopo yenu nimeipenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtafika mbali[emoji1787]
Hata usipoipenda, Cha kufanya hunaHii kopo yenu nimeipenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtafika mbali[emoji1787]
Huyo mamy k ni kimeo sana[emoji23][emoji23][emoji23] tutafika mbali sana’a
Huyo mamy k ni kimeo sana
Hongereni sana Akina dada wote ambao hampaki make up na Bado mnapendeza.
Mnanyoa na Bado mnapendeza.
Amen!
Ewaaaa,,, Beautiful!
🤣🤣🤣Mie bila wanja sitoki nje, nna jicho Kama la ray c, nahisi nisipolidhibiti Kwa wanja nitatisha wapita njia🤣🤣
Wanasema natural iachie misitu😃Hongereni sana Akina dada wote ambao hampaki make up na Bado mnapendeza.
Mnanyoa na Bado mnapendeza.
Amen!
Hao artificial Wana Hali ngumu sana.🤣Wanasema natural iachie misitu😃
pm basiHapa hapana.
😃😃😃😃 Ndo style yangu pendwa hyo,Abane nywele kwa nyuma halafu awe na komwe la haja,ni full burudani kama vile kila siku ni sikukuu.
🤣🤣🤣🤣Huyo mamy k ni kimeo sana
Sina cha kufanya zaidi ya kuwaombea mpate mapacha.🤣🤣Hata usipoipenda, Cha kufanya huna