Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule kuchachukaaa tyuuh, mbna mie naweza kupeleka umbea kwa mange.
Bado nashindwa kuelewa, unalipia kabisa pesa ili usome umbea? Umbea wenyewe ni sijui kiba kafumaniwa anakiss
 
Anapenda ligi hatari hata kipengele cha kutafuta watoto tutabishana kwenye mikao, nitaambiwa huo sio mzuri mtoto atakuwa hasikii kaa hivi! [emoji23][emoji23]
Nina style 21, ukitaka mtoto niambie nikupige ile ya Hamza kafia ubalozini
 
Back
Top Bottom