Kapicha basi ili tuone kama kweli na wewe umo katika hao waliopewa maua.
😎
too bad wahusika wamegoma kuweka picha za mfano, wamekimbiafull burudani kama vile kila siku ni sikukuu.
hahahaha kipini kinakata stimu ujueunakula kipini au unakula ile naniliu??
Wataweka tu,mambo mazuri hayahitaji haraka.too bad wahusika wamegoma kuweka picha za mfano, wamekimbia
NAKAZIA
weka kapicha, alaf unaficha sura 🙄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe hebu tulia kwanza
ah kmmk mshamba hachekwi ila nimeshindwa kuvumilia😂hahahaha kipini kinakata stimu ujue
Waongezee na shanga moja tu, sio wale wanavaa shanga nyingi kama uchafu,
Shanga moja tu tena ile kama cheni fln gold-plated
Itabidi unitumie PM ili tusilete taharuki.[emoji12] Nitaleta taharuki hapa
uzi unapicha moko tu mpaka dk hii, mod futa uziah kmmk mshamba hachekwi ila nimeshindwa kuvumilia😂
weka kapicha, alaf unaficha sura 🙄
Itabidi unitumie PM ili tusilete taharuki.
unaweka alaf unafuta chap, sitaiwahi niamini[emoji23][emoji23][emoji23] Ukafanye jambo lake
uzi unapicha moko tu mpaka dk hii, mod futa uzi
Yani kama vile Pilau la Kuku lililokosa kachumbali,naungo mkono hoja,uzi ufutwe.uzi unapicha moko tu mpaka dk hii, mod futa uzi
namie ntumie PM kama IceBreakerAcha makasiriko [emoji23][emoji23]