Wakina dada nisaidieni hili, mwenzenu ameona aibu kusema!

Wakina dada nisaidieni hili, mwenzenu ameona aibu kusema!

Nina mrembo nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa kipindi fulani. Lakini wakati wakushiriki nae tendo huwa anasema " nikikaa hivi inachoma choma bwana inachoma ". Nikimuuliza unafurahia au unaumia hajibu,,anasema we Fanya TU.

Hebu naomba mnisaidie hapo inakua Ina maumivu au Raha maana muda mwingine naona kama anashika maeneo ya karibu na kitovu.
Kwani ni mkeketo? Kama ndio anaumia sana tu kama huo wako wa jang'ombe ni mrefu basi pia una muumiza
 
We fanya tu
Screenshot_20211102-192731.jpg
 
Nina mrembo nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa kipindi fulani. Lakini wakati wakushiriki nae tendo huwa anasema " nikikaa hivi inachoma choma bwana inachoma ". Nikimuuliza unafurahia au unaumia hajibu,,anasema we Fanya TU.

Hebu naomba mnisaidie hapo inakua Ina maumivu au Raha maana muda mwingine naona kama anashika maeneo ya karibu na kitovu.
hiyo ni P.I.D
 
Sasa mimi nakuambia ukweli jap kuna wajinga wataniona expert[emoji23][emoji23].

Hapo ni kwamba nanilii yako ni nyembamba halafu ni ndefu. Huwa zinatoboa toboa hizo kama mwiba. Yaani haziwagi tamu kabisa. Ikiingia tu break kwenye cervix.
kwaiyo unataka kutuambia nini sisi wanaume wenye nanilii nyembamba ndefu
 
Sasa mimi nakuambia ukweli jap kuna wajinga wataniona expert[emoji23][emoji23].

Hapo ni kwamba nanilii yako ni nyembamba halafu ni ndefu. Huwa zinatoboa toboa hizo kama mwiba. Yaani haziwagi tamu kabisa. Ikiingia tu break kwenye cervix.
Nimepata kufahamu kitu hapa, asante sana kwa jibu lako..
 
Back
Top Bottom