Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Hahaha haki zenu my foot. ..mtazipata kwengine mbona tupo wengi tu humu .. Kuna kina mtu chake Cole Williams

Unaweza ukafuatwa na mtu Akijifanya ni mwanamke Anadai amekuzimikia. ..kumbe ni mtu asiyejulikana. ..
Sasa hapa ndo mnazingua! Mnatunyima haki zetu bwana [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wakikufata ndo watakubebea hapo hapo PM?!
 
Hahaha haki zenu my foot. ..mtazipata kwengine mbona tupo wengi tu humu .. Kuna kina mtu chake Cole Williams

Unaweza ukafuatwa na mtu Akijifanya ni mwanamke Anadai amekuzimikia. ..kumbe ni mtu asiyejulikana. ..
Na wewe utazimikiaje ID? Kwamba kitaani wameisha!
Hata mkizimikiana penzi litaishia humo humo PM still haitakuwa na madhara.
Ila wale wapenda vipochi manyoya ndo tutakuta miili mabwepande😂
 
Mkuu wee acha tu '. Hayo mimi nayajua sana humu ni hatari '' ...
 
Hahahahahahahahahahahahaaahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…