Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Hahahaha nanusa harufu ya ukweli hapaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ka kufuri kadogo dogo😂😂nitalitoaa
Sasa hapa ndo mnazingua! Mnatunyima haki zetu bwana [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wakikufata ndo watakubebea hapo hapo PM?!
Wapi?Nakuja
Hahaha hapana aise. .endeleeni kula kwa macho tu inatosha
Wanasemaga kula sio kunenepaNakula magimbi yotee na sinenepiView attachment 1178998
Vibaya hivyoooHahaha hapana aise. .endeleeni kula kwa macho tu inatosha
Yaani, ukiwa nae outing mimacho yote kodoMtoto kipotable
English figure
Katoto hodari[emoji23]
W
Wanasemaga kula sio kunenepa
Ila me nikivufululiza yoghurt shavu hilooo[emoji23]
Vibaya hivyooo
Yaani, ukiwa nae outing mimacho yote kodo
Na wewe utazimikiaje ID? Kwamba kitaani wameisha!Hahaha haki zenu my foot. ..mtazipata kwengine mbona tupo wengi tu humu .. Kuna kina mtu chake Cole Williams
Unaweza ukafuatwa na mtu Akijifanya ni mwanamke Anadai amekuzimikia. ..kumbe ni mtu asiyejulikana. ..
Kikuma mwisho wa siku unapewa kipoozeoKinauma wewe usiseme hivyo
Mkuu kuna mdada mmoja nipo nae chuo ananikubali sana siku nikashika simu yake niingie jf kumbe na yeye anatumia nikaona isiwe kesi ngoja nitumie hiyo hiye acc yake kusoma threads mbali mbali sasa bahat mbaya nikajiroga kuingia pm yake nilichokikuta aisee yaan ile fantasy league ya eatv cha mtoto
Mkuu kuna mdada mmoja nipo nae chuo ananikubali sana siku nikashika simu yake niingie jf kumbe na yeye anatumia nikaona isiwe kesi ngoja nitumie hiyo hiye acc yake kusoma threads mbali mbali sasa bahat mbaya nikajiroga kuingia pm yake nilichokikuta aisee yaan ile fantasy league ya eatv cha mtoto