Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Hahaha haki zenu my foot. ..mtazipata kwengine mbona tupo wengi tu humu .. Kuna kina mtu chake Cole Williams

Unaweza ukafuatwa na mtu Akijifanya ni mwanamke Anadai amekuzimikia. ..kumbe ni mtu asiyejulikana. ..
Sasa hapa ndo mnazingua! Mnatunyima haki zetu bwana [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wakikufata ndo watakubebea hapo hapo PM?!
 
Hahaha haki zenu my foot. ..mtazipata kwengine mbona tupo wengi tu humu .. Kuna kina mtu chake Cole Williams

Unaweza ukafuatwa na mtu Akijifanya ni mwanamke Anadai amekuzimikia. ..kumbe ni mtu asiyejulikana. ..
Na wewe utazimikiaje ID? Kwamba kitaani wameisha!
Hata mkizimikiana penzi litaishia humo humo PM still haitakuwa na madhara.
Ila wale wapenda vipochi manyoya ndo tutakuta miili mabwepande😂
 
Mkuu wee acha tu '. Hayo mimi nayajua sana humu ni hatari '' ...
Mkuu kuna mdada mmoja nipo nae chuo ananikubali sana siku nikashika simu yake niingie jf kumbe na yeye anatumia nikaona isiwe kesi ngoja nitumie hiyo hiye acc yake kusoma threads mbali mbali sasa bahat mbaya nikajiroga kuingia pm yake nilichokikuta aisee yaan ile fantasy league ya eatv cha mtoto
 
Hahahahahahahahahahahahaaahahahahahahaha
Mkuu kuna mdada mmoja nipo nae chuo ananikubali sana siku nikashika simu yake niingie jf kumbe na yeye anatumia nikaona isiwe kesi ngoja nitumie hiyo hiye acc yake kusoma threads mbali mbali sasa bahat mbaya nikajiroga kuingia pm yake nilichokikuta aisee yaan ile fantasy league ya eatv cha mtoto
 
Back
Top Bottom