BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Mashangazi tunapenda marungu yaliyonona vilivyo. Tunagharamia.Mashangazi jau sana nyie ๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashangazi tunapenda marungu yaliyonona vilivyo. Tunagharamia.Mashangazi jau sana nyie ๐ ๐ ๐ ๐
The first impression MkuuuuMtazuga sana hapa ila issue ni hela tu,
Mkiona mwenye hela,nyie wenyewe mnaenda kugombania kupanga foleni,
Mwenye hela hata akinuka au akivaa vibaya,mtamsifu tu,utasikia "Tajiri leo kaamua kuishi kivingine,kaamua kubadili mazingira"
Sasa kwanini hamtaki kupima mbwa nyie ๐๐๐๐Mashangazi tunapenda marungu yaliyonona vilivyo. Tunagharamia.
Hakuna dawa ya hiko kitu..Dawa ya ukimwi ipo ruka pekupeku tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mimi nina kitambi na nina bench press 70kg, wewe ambaye sio mzembe unaweza??Kitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Eti wewe huangalii zipu yake?๐คฃUwezo wa kunifanya nimpe attention Yan mazungumzo yenye ukomavu
Usafi mavazi ukivaa chini ya Tako suruali nimekushusha vyeo mara mia uvae masulupwete ๐
Mengine siriyangu
Hii point ya poor infrastructure nimeiona Leo ngoja niwe makini๐๐Eti wewe huangalii zipu yake?๐คฃ
Mnazidi kutukandamiza sie tusiostahili1๐คฃHii point ya poor infrastructure nimeiona Leo ngoja niwe makini๐๐
Safari iliisha vizuri tu msimbazi B kila mtu akaelekea uelekeo wakeVipi baada ya hapo? Kulikua na mwendelezo mzuri?
Vipi safari yenu, iliisha na happy ending?
HapanaNamba ulikuchukua mkuu? ๐
๐๐๐๐๐Hakika huyo kaka ndo Mimi huwa sipendi watu wapate shida katika mwendo kasi
Ndio ni miaka mitatu sasa sijakiona kichwa cha chini ๐
Maana yake ana kibamia siyo...๐๐Zipu ya suruali, kama pako flat kama sisi huyo hamna kitu.
Sawa KAFIRIAnzisheni wenu
Mwingine nilipanda naye BusSaint Anne Mkaka anayenukia โ
Kwa kweli wabadilike aiseeNkamu kwa hili Igweeeeeee
Hata mimi sipendi watu wenye muonekano wa vibaka..
Namba yangu unayo, ukihitaji cifiro utanichekSiko tayari kusogezwa kizazi nishindwe hata kunya jamanii.... kiphiro heavy