Hamna bwana. Wapo wengi tu wananukia ni wanaume kweli na hawana hizo pigo.Mtoto wa mama ,ni wale Huwa wanajiliza Liza Kwa Wanawake na kujinyonga au kuvurugika maisha kisa wameshindana na mwanamke.
Kiufupi ni wanaume dhaifu sana.
Miss u...Utimamu wa akili yake
Lugha yake ya kwanza kwenye conversation ya mwanzomwanzo
Inatosha kujua mtu wa hovyo au ni timamu.
Kazini unatoka saa ngapi?🫦🍆🍆🍆
Mimi nakitambi kizuri Cha kuchomekea na kuvalia SUTI 😅 of course Mimi nilikuaga mwembamba Sanaa kwa kweli nashukuru nimetoka huko kwenye WEMBAMBA now na MWILI wa UBONGEKitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
I miss you more sisy🥰Miss u...
Ulipoteaaa...kwema lakini my dearI miss you more sisy🥰
Nimefurahi tumeonana tena
NdiyoMhhh wewe!!! Uligeuka Malaika wa huruma ???
NipoUlipoteaaa...kwema lakini my dear
Tenda wema uende zakoWanawake ukiwafanyia uhungwana sometimes wanakuona kama zoba vile.
Safi sanaa...mdogo mdogo na mm nitapotea...tuache damu changa zirumbane😃😃Nipo
Tunapishana tu majukwaa
Pia nimepunguza kucomment
Mara nyingi nasoma tu.
KabisaSafi sanaa...mdogo mdogo na mm nitapotea...tuache damu changa zirumbane😃😃
Swala la perfume kwa kweli siwez kutok bila perfume na nyingine huw nabeba ktk Bag na ktk gari ipo. Nishazoea tangia nipo shule hadi waalimu walikuw wanacopy perfume zangu niwatajie jina wakanunue na mm nawapa boko 😅 staki tufanane.Yaani uwe unanukia,umevaa Pamba Kali na kiatu harafu unatembea Kwa miguu au baiskeli? Hiyo ni jau sana.
Niliwahi nunua manukato nikasahau kutumia Sasa Kuna demu huwa anakuja kufanya usafi ikabidi aniombe eti Huwa situmii,nikampa 😁😁
Mimi ni Me nikisikia mwanaume ananukia Huwa namdharau 😂😂
Nifah wewe kibane bane mwisho kiliwe na mzee wa kupambania Nifah Mzee wa kupambaniaManeno ndo huwa wanasikiliza
Siku moja nasafiri alikuwepo gentleman mmoja ila alipoanza kuimba ile nyimbo ya
Diamond inasema "kibane kibane mwisho kiliwe " that was too shit wanawake walimshusha vyeo vyote Asap.
Good looking and being smart upstair you can attract the pretty woman.
Hii thread nimejizuia sana kuchangia maana sitaki kuuza ramani ya vita kwa Mdakuzi akapita nayo kwenye first date yetu.Nifah wewe kibane bane mwisho kiliwe na mzee wa kupambania Nifah Mzee wa kupambania
Au vipi Bantu Lady 😀😀😀Kabisa
Tuwaachie upcoming members😂
Kama smart halafu unanuka kama beberu umeshaharibu kila kitu ...Unynyu muhimu sana unaleta hali kujiamini fulani .Eeh. Naomba kuuliza Mwanaume anatakiwa ajipulizie unyunyu tena? Mi nilijua unyunyu ni kwa ajili ya ladies tu.
Siku zote najua mwanaume ukiwa smart tu ndio imeisha hiyo kumbe na unyunyu khaa