Aisee kati ya hawa kuna mmoja, Alinitafakarisha sana jamani dah, Nikafanya dua then Nikabadilisha id maisha yanasonga vema.
Naunga mkono hoja kipenzi changu/ Mtani wangu tuwaachie wakina figo π€£π€£π€£π€£π€£π€£Au vipi Bantu Lady πππ
Kabisa dear πππ π€£π€£π€£π€£maana wamekuja motooo...Naunga mkono hoja kipenzi changu/ Mtani wangu tuwaachie wakina figo π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ila wakongwe ni dhahabuAu vipi Bantu Lady πππ
Kuna ile first impression aisee, yaani Pamba, muonekano, marashi etc
π€£π€£π€£π€£Naunga mkono hoja kipenzi changu/ Mtani wangu tuwaachie wakina figo π€£π€£π€£π€£π€£π€£
πππnimekosa hata cha kusema ππhapa wacha nisome tu maana nahisi nina ulimwengu wangu wa peke angu kipande hicho
ππππsi ndo maaana nasema kuna vitu havielezeki sometimes naangalia mwenzangu mi naangaliaga viatuπ€£π€£π€£π€£
Looh huyo Kidney. Aisee
πππ
Hupandishi na kushusha macho ?
Pua huwa hazinusiii π€£π€£π€£
Tena moto wa kifuu luv. Kama alivyosema Saint Anne vya kale ni dhahabu, tutakuwepo kunakshinakshi hatuna jinsi ππππππKabisa dear πππ π€£π€£π€£π€£maana wamekuja motooo...
Kitambi
Sipendi vitambi
Endelea kuchukulia poa, usiombe kukutana......Jambo la afya yake
Anakula hovyo hovyo
Rangi
Kuna id nikiziona nafurahi..Tena moto wa kifuu luv. Kama alivyosema Saint Anne vya kale ni dhahabu, tutakuwepo kunakshinakshi hatuna jinsi ππππππ
Uko kama mimi, nikiona wenzangu bado mpo narudi π π π π unaweza jikuta uko peke yako unabishana na vitoto vyako ππππKuna id nikiziona nafurahi..
Nyie wakongwe ndio mnaonipa nguvu za kuchangia/kucomment.
Tukipotea mazima majukwaa yatapoa..tuwe tunakazia mada kido kidogo...vya kale dhahabu...ukubwa nao dawa...ππππππTena moto wa kifuu luv. Kama alivyosema Saint Anne vya kale ni dhahabu, tutakuwepo kunakshinakshi hatuna jinsi ππππππ