Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Amehlo boss pitia hapa tunataka kusikia kutoka kwako ?
Just a Girl Midekoo sijaona ukisema neno according to the thread
 
Naunga mkono hoja kipenzi changu/ Mtani wangu tuwaachie wakina figo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Looh huyo Kidney. Aisee
nimekosa hata cha kusema 😂😂hapa wacha nisome tu maana nahisi nina ulimwengu wangu wa peke angu kipande hicho
😃😃😃
Hupandishi na kushusha macho ?
Pua huwa hazinusiii 🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣
Looh huyo Kidney. Aisee
😃😃😃
Hupandishi na kushusha macho ?
Pua huwa hazinusiii 🤣🤣🤣
😂😂😂😂si ndo maaana nasema kuna vitu havielezeki sometimes naangalia mwenzangu mi naangaliaga viatu
 
Back
Top Bottom