Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

mwanamke mpe hela,nasema tena mpe hela,mwanamke ameumbwa na huruma,yupo tayari kulea kilema Cha aina yeyote muhimu kuwe na pesa tu ...Pesa ni sabuni ya roho,pesa ni NGUVU za KIUME,wanaume wenye pesa za kuhonga tujipige kifua na kujidai💪
Achana na hela kwanza hii wananwake ndio wanaweza wakatoa majibu yanayoeleweka sasa
 
live watuambie tujizingatiee
 
We Zombie! Haujui!!!
Na Simba la Masimba Dangotee
Eh bathi eh eh, eh eh!
Ah eh yah yah eh aiii aiii
Kibanebane mwisho kiliwe na nyenyere
Kibanebane mwisho kiliwe na nyenyere
 
Hitaji la msingi, mambo ya kuchafuana hatutaki!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 luv umemaliza kila kitu. Mimi napenda tu kuwaangalia kwenye zipu. Maana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo. Ubusy tu siku hizi, unatunyima kuona vitu vinavyovimba bila hamira 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…