Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Watumishi wengi washamba wachafu
Sijui nani aliwaambia Mungu anapenda uchafu
Na ukiokoka usijipende kimwili..
......
Kuna wakaka tu ni wastaarabu hata kama siyo Mtumishi.
Kuna siku nilipanda mwendokasi imejaa sana
Nikasimama kwenye yale maungio panapojikunja na nimesimama katikati ,pembeni kote kumejaa
Gari imetoka almanusura nidondoke sina pa kujishikilia.
Kuna kaka alikuwa amesimama pembeni ameegemea gari akaniambia dada njoo usimame hapa...akasogea kidogo nipate nafasi.

*Tone yake aliyotumia
Unaona kabisa ni mtu mstaarabu. mwenye utu.
*Alivaa kistaarabu, casual
Na pia alikuwa ananukia.
First impression jamani Mimi napenda mtu ananukia aisee...msafi,
Avae liheshima na asiwe na muonekano kama kibaka.



Hakika huyo kaka ndo Mimi huwa sipendi watu wapate shida katika mwendo kasi
 
Mimi naangalia yeyote tu kwenye zipu. Kuhusu mwanaume mimi nachagua sana. Kuna mtu nikimuona tu najua huyu ananifaa na huwa ana asilimia nyingi ya navyovihitaji awe navyo kuanzia kimuonekano, afya ya akili, usafi n.k


Kwahiyo Cash Madam mambo ya pesa na material stuffs ni nyongeza tu

Outlook , smart upstair , na Msingi kiuno inatosha kumpata cash Madam!?
 
Mimi naangalia yeyote tu kwenye zipu. Kuhusu mwanaume mimi nachagua sana. Kuna mtu nikimuona tu najua huyu ananifaa na huwa ana asilimia nyingi ya navyovihitaji awe navyo kuanzia kimuonekano, afya ya akili, usafi n.k
Eti Bantu Lady Watanzania kufanya mazungumzo mengi ya starehe, mahusiano na kungonoka ukilinganisha na mambo ya sayansi na teknolojia, uchumi etc ni ishara ya watu kuwa na akili ndogo?

Yoda
 
Saint Anne Mkaka anayenukia ✅
Kwa kweli anayenukia ananivutia Kwa haraka
Ila pia kunukia kuendane na ustaarabu wa yale yote niliyoyasema

Kuna mwingine ananukia lakini unakuta yupo kufight na wamama kugombea siti..hana huruma😂.


Tuongezee hapo
Na saa..
Watu wanaonukia mara nyingi na saa huwa wanavaa.
Shati lako ama tshirt yako safi sana na saa inapendeza.

Wale wanaoacha miboksa inazagaa nje mara nyingi hata saa huwa hawavai.

Nimewasahau wale wanavaa kaptura mapaja karibu yote yapo njee
Uwiii
Hata unukie vipi
Nikiona amevaa kaptura fupi mno mapaja yote yapo nje,aibu naona mimi..
Hii ni Kwa vijana wa daslama..huku mikoani hizo pigo hakuna.
 
Back
Top Bottom