Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuu?Ingekuwa inawezekana ningekuambia tufanye maombi ya kufunga kwa ajili yao🤣
Kuanzia leo naondoa wazo la kutaka kuwa na urafiki na wewe.🤣Kitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Kwa hiyo Bantu Lady ya size ipi inakudatishaga nauliza kwa niaba ya mleta uzi bwana Manyanza🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 luv umemaliza kila kitu. Mimi napenda tu kuwaangalia kwenye zipu. Maana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo. Ubusy tu siku hizi, unatunyima kuona vitu vinavyovimba bila hamira 😊
Kwanini sasa? 😂Kuanzia leo naondoa wazo la kutaka kuwa na urafiki na wewe.🤣
Joannah bhanahalafu kisigino kimelika
The way anavyobehave anaongea sana na anaongea niniWasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?
1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Kama ya huyu anaenikula😋Unapendelea iwe ~ nene? au nyembamba? au fupi? au ndefu? au nene ndefu halafu nzitoh!?
Kuna watu wakimya kabisa na wana akili nyingi, kuna ambao ni vilaza pia. Kuna waongeaji sana wenye akili nyingi na vilaza wapo.Vivyo hivyo kuna wapenda ngono ya kuongea na vitendo ni wenye akili na wa hivyohivyo ni vilaza.Kwa hivyo inawezekana kabisa wana akili kubwa ila wanapenda sana kubaki kwenye mazungumzo haya kwa makusudi tu, hawataki kuitumia akiki yao kubwa kwenye mambo mengine mengi?
Yoda
Umesahau universe response by listening from your mind interpretationMkuu unatumia njia gani kupata leseni ya kuendesha scania ?
Sisi wenzako tunaishia kuendesha bajaji na corola tu.
Tupe mbinu mkuu
Bantu Lady bhanaMaana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo.
Mkuu usizani hiyo itakuja tokea tenaRuka majoka kijana tena bila viatu dawa ninayo Mimi
Siku nikifanikiwa kuondoa hili tumbo nitarudi kukujibu.Kwanini sasa? 😂
Umesahau universe response by listening from your mind interpretation
Aiseee hata mimi mwenyewe licha ya kuchagua ila ty sipendelei viatuUnafeli wapi au unashindwa kuchagua viatu vizuri?
Nilijua tu kua wewe utakua sio riziki.Zipu ya suruali, kama pako flat kama sisi huyo hamna kitu.
Najua huwezi niamini. Ila sipendi sex kabisa. Ni mtu naongea tu but siyo mambo yangu kabisa. Naweza kaa miaka hata 5 bilabila... sijui hata size ipi nzuri eti muda mrefu sana nimesahau 😅😅😅😅😅😅Kwa hiyo Bantu Lady ya size ipi inakudatishaga nauliza kwa niaba ya mleta uzi bwana Manyanza