Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Hapana,naongelea mkanda mzuri wa Lether na walett ya Lether sio unavaa mikanda imetengenezwa machinga complex na fake lether na kina baba yeyoo
20240918_183734.jpg

Wallet la mdogo wako jioni hii lina afu tatu lakini ni zuri balaaa 🤣🤣🤣
Joannah
 
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 luv umemaliza kila kitu. Mimi napenda tu kuwaangalia kwenye zipu. Maana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo. Ubusy tu siku hizi, unatunyima kuona vitu vinavyovimba bila hamira 😊
Kwa hiyo Bantu Lady ya size ipi inakudatishaga nauliza kwa niaba ya mleta uzi bwana Manyanza
 
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?

1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
The way anavyobehave anaongea sana na anaongea nini
 
Kwa hivyo inawezekana kabisa wana akili kubwa ila wanapenda sana kubaki kwenye mazungumzo haya kwa makusudi tu, hawataki kuitumia akiki yao kubwa kwenye mambo mengine mengi?

Yoda
Kuna watu wakimya kabisa na wana akili nyingi, kuna ambao ni vilaza pia. Kuna waongeaji sana wenye akili nyingi na vilaza wapo.Vivyo hivyo kuna wapenda ngono ya kuongea na vitendo ni wenye akili na wa hivyohivyo ni vilaza.

Inategemea na malezi, sehemu aliyokulia, watu wanaomzunguka. Hatuwezi kupima mtu kwa kupenda mazungumzo ya ngono, tukamuweka kundi hili ma asiyependa akawekwa kundi lile.
 
Kwa hiyo Bantu Lady ya size ipi inakudatishaga nauliza kwa niaba ya mleta uzi bwana Manyanza
Najua huwezi niamini. Ila sipendi sex kabisa. Ni mtu naongea tu but siyo mambo yangu kabisa. Naweza kaa miaka hata 5 bilabila... sijui hata size ipi nzuri eti muda mrefu sana nimesahau 😅😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom