Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Tatizo si kupenda nazungumzo ya ngono tu. Wenzetu wana mpaka pornography industry wameifanya biashara kabisa.

Tatizo ni kujikita sana kwenye mazungumzo ya ngono na kushindwa mengine.

Yoda
Yes wenzetu kila kitu ni fursa. Sisi tunashindwa kugeuza kitu kuwa fursa. Tunabakia kuwa na uraibu tu, bila kupata faida. Nimekupata vizuri.
 
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?

1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Awe na uwezo Mzuri Kichwani wa kuzungumza mambo,Asiwe Mjuaji, Ajue kujali, Avae vizuri na mambo mengine kama hayo.
 
Watumishi wengi washamba wachafu
Sijui nani aliwaambia Mungu anapenda uchafu
Na ukiokoka usijipende kimwili..
......
Kuna wakaka tu ni wastaarabu hata kama siyo Mtumishi.
Kuna siku nilipanda mwendokasi imejaa sana
Nikasimama kwenye yale maungio panapojikunja na nimesimama katikati ,pembeni kote kumejaa
Gari imetoka almanusura nidondoke sina pa kujishikilia.
Kuna kaka alikuwa amesimama pembeni ameegemea gari akaniambia dada njoo usimame hapa...akasogea kidogo nipate nafasi.

*Tone yake aliyotumia
Unaona kabisa ni mtu mstaarabu. mwenye utu.
*Alivaa kistaarabu, casual
Na pia alikuwa ananukia.
First impression jamani Mimi napenda mtu ananukia aisee...msafi,
Avae kiheshima na asiwe na muonekano kama kibaka.
Vipi baada ya hapo? Kulikua na mwendelezo mzuri?

Vipi safari yenu, iliisha na happy ending?
 
Back
Top Bottom