Mimi labda nifumbe macho, tena tukimaliza namfukuza au namkimbia sitaki kumuona tena.. π€£π€£Kinyaa, uvivu mimi napenda mpenzi tubebishane kwa mengine yote. Ila ikifika hiyo mbona atachoka ajiendee masikini.
Yes wenzetu kila kitu ni fursa. Sisi tunashindwa kugeuza kitu kuwa fursa. Tunabakia kuwa na uraibu tu, bila kupata faida. Nimekupata vizuri.Tatizo si kupenda nazungumzo ya ngono tu. Wenzetu wana mpaka pornography industry wameifanya biashara kabisa.
Tatizo ni kujikita sana kwenye mazungumzo ya ngono na kushindwa mengine.
Yoda
nifanyie fadhila kidogo..njoo unitoe viatu kitambi changu kinanizuia bibieKitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
π€π€π€πππUtimamu wa akili yake
Lugha yake ya kwanza kwenye conversation ya mwanzomwanzo
Inatosha kujua mtu wa hovyo au ni timamu.
Kwahiyo angejiongeza tuu angekula mzigo!!?Tone yake aliyotumia
Unaona kabisa ni mtu mstaarabu. mwenye utu.
*Alivaa kistaarabu, casual
Na pia alikuwa ananukia.
First impression jamani Mimi napenda mtu ananukia aisee...msafi,
Avae kiheshima na asiwe na muonekano kama kibaka.
HapanaKwahiyo angejiongeza tuu angekula mzigo!!?
Nimefaulu kigezoHuyo atakuambia Cha Kwanza uwe CCM mengine muachie Allah.
Hatimaye wenye vitambi tumefikiwaKitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Awe na uwezo Mzuri Kichwani wa kuzungumza mambo,Asiwe Mjuaji, Ajue kujali, Avae vizuri na mambo mengine kama hayo.Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?
1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Aiseee hata mimi mwenyewe licha ya kuchagua ila tu sipendelei viatyUnafeli wapi au unashindwa kuchagua viatu vizuri?
ππππππ Yaah...Kweli I get you Mr in mind is where ur treasure is .
Huu mtandao ni wa kibaguzi sana hasa kwa waislam, muislam akitukana kidogo wanapigwa banDuuuh we jamaa kumbe ndiyo tabia yako hiyo ndiyo maana hupati ajira serikalini
Ni kweli , ni ishara ya uwezo mdogo wa akili ya Watanzania wengi.Eti Bantu Lady Watanzania kufanya mazungumzo mengi ya starehe, mahusiano na kungonoka ukilinganisha na mambo ya sayansi na teknolojia, uchumi etc ni ishara ya watu kuwa na akili ndogo?
Yoda
Kupika chapati za kusukuma ndo siri yako ππππUwezo wa kunifanya nimpe attention Yan mazungumzo yenye ukomavu
Usafi mavazi ukivaa chini ya Tako suruali nimekushusha vyeo mara mia uvae masulupwete π
Mengine siriyangu
Vipi baada ya hapo? Kulikua na mwendelezo mzuri?Watumishi wengi washamba wachafu
Sijui nani aliwaambia Mungu anapenda uchafu
Na ukiokoka usijipende kimwili..
......
Kuna wakaka tu ni wastaarabu hata kama siyo Mtumishi.
Kuna siku nilipanda mwendokasi imejaa sana
Nikasimama kwenye yale maungio panapojikunja na nimesimama katikati ,pembeni kote kumejaa
Gari imetoka almanusura nidondoke sina pa kujishikilia.
Kuna kaka alikuwa amesimama pembeni ameegemea gari akaniambia dada njoo usimame hapa...akasogea kidogo nipate nafasi.
*Tone yake aliyotumia
Unaona kabisa ni mtu mstaarabu. mwenye utu.
*Alivaa kistaarabu, casual
Na pia alikuwa ananukia.
First impression jamani Mimi napenda mtu ananukia aisee...msafi,
Avae kiheshima na asiwe na muonekano kama kibaka.
πππ€Έπ€ΈKama ya huyu anaenikulaπ
Huwa namwambia kabisa fundi,Zipu ya suruali, kama pako flat kama sisi huyo hamna kitu.
If you can't be trusted in foods.Jambo la afya yake
Anakula hovyo hovyo
Sielewagi kingrezaIf you can't be trusted in foods.
How can we trust you in love?