Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Jambo la afya yakeMzembe kwenye jambo gani?
Anakula hovyo hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo la afya yakeMzembe kwenye jambo gani?
Muonekano then yes....after searching then Yes or noHuangalii mavazi au hata hauvuti harufu ya manukato ?
Zipu ya suruali, kama pako flat kama sisi huyo hamna kitu.Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana ? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?
1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Lakini wajomba zako wana vitambi 🤣Kitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Ushazikamata au bado?
Kumbe kwenye kikao ulielewa vyema ile agenda kuuZipu ya suruali, kama pako flat kama sisi huyo hamna kitu.
Shosti, si kuna mikao unajifunza kitambi hakikugusi?Kitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Lakini wajomba zako wana vitambi 🤣
Hapo kwenye viatu daah ndo nafeligi dadek..
Hapana bhana 🤣Shosti, si kuna mikao unajifunza kitambi hakikugusi?
Wenzio wanapenda wababa wenye vitambiNdio,wewe si ndo mjomba angu 😂😂
Hitaji la msingi, mambo ya kuchafuana hatutaki!Kwenye zipu 😥
Wenzio wanapenda wababa wenye vitambi
🤣🤣🤣 Ee bhana 😋Kwenye zipu 😥
Coded reply 🤣🤣🤣