Wanatusimangabsie wenye vibamia acha tuuIla wanawake wanafiki sana aisee, walisema ukiwa na kibamia bc ujue kukitumia. Ila hapa naona wanaikimbia hy kauli yao wanataka mzigo heavy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatusimangabsie wenye vibamia acha tuuIla wanawake wanafiki sana aisee, walisema ukiwa na kibamia bc ujue kukitumia. Ila hapa naona wanaikimbia hy kauli yao wanataka mzigo heavy.
Kikubwa kujiamini ukiona mwanamke anataka kukutawala Kwa tone ya Lugha anayotumia piga chini maana Kuna wale Huwa wanajiona class ya Juu Sasa hao Mimi Huwa nawavizia wajichangange,wakiona kimyaaa sana watakuuliza ndio unamchana makavu hatorudua Kwa mwingine ataanza kujistukia.Usafi/umaridadi/utanashati ni muhimu kwa kila binadamu.
Kikubwa Jiamini kijana na binti atakuelewa kama ana akili za kutosha, usijetafuta Escort ya 10 Rose Noire ili tu binti akukubali,ishi ndani ya uwezo wako kama ni manukato/mavazi yaendane na vile unaweza kumudu gharama yake,vingine usivyoweza ukimuigizia mwisho wa siku mtakuja kutufungulia thread ya kukutana na "jangiri wa kike"
To be honest Huwa sitembei na wallet popote,Toka nimepoteza pesa na vitambulisho niliapa kutembea na wallet kama huna gari usijaribu utakuja kulia siku Moja.View attachment 3099728
Wallet la mdogo wako jioni hii lina afu tatu lakini ni zuri balaaa 🤣🤣🤣
Joannah
Yaani uwe unanukia,umevaa Pamba Kali na kiatu harafu unatembea Kwa miguu au baiskeli? Hiyo ni jau sana.Nimeona ktk huu mjadala ishu ya kunukia.
Ni kweli, Manukato yanakupa point nyingi sana mbele ya Watu mbalimbali...
Nje ya manukato pia wanapenda HEIGHT ukiwa na kimo kizuri tyr ww ni special case.. pia mavazi ambayo yanaendana na Viatu..
Kikubwa zaidi pia ukiwa na ka usafiri ni jambo la kukupa heshima zaidi...
Mguuni hakikisha una viatu vya kupanda mfano: Clarks, Chelsea boots👢, Travolta etc
Kupokea compliments kwamba unavutia ni jambo la kawaida..
Wait.. mkononi weka kitu cha maana.. ni muhimu.
Naaaam! Safi sana ,washauri vijana waongeze kujiamini.Kikubwa kujiamini ukiona mwanamke anataka kukutawala Kwa tone ya Lugha anayotumia piga chini maana Kuna wale Huwa wanajiona class ya Juu Sasa hao Mimi Huwa nawapiga chini,wakiona kimyaaa sana watakuuliza ndio unamchana makavu hatorudua Kwa mwingine ataanza kujistukia.
Ni kosa Kwa mwanaume kuwa submissive Kwa mwanamke eti mzuri,nilishaga shindwa kujiliza Kwa mwanamke ndio maana Huwa nashangaa watu kugombania mwanamke.
Katika jambo Mimi ninalimudu Kwa 90% ni la kujiamini ,muendelezo wa mazungumzo naweza feli ila sio kumface mwanamke kwanza sidhani kama yupo naemuogopa.Naaaam! Safi sana ,washauri vijana waongeze kujiamini.
Kwenye mazingira ya kutaka mshikaji wa burudani basi kina Marioo Wana nafasi kubwa ila akitaka kuolewa ndio wanatafuta hao wanaume smart.Wanawake ukiwafanyia uhungwana sometimes wanakuona kama zoba vile.
ahahaaaaaKitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Ushamba?Duuh na wewe na mvuto gani usio wa hovyo na usioakisi ushamba?
🫦🍆🍆🍆
It's a proxima to implication ya uzembe, in other words how do you reflect on carriage of obesity, those are just body muscles, currently are equally more visible in women even the younger ones, 22-35.Ushamba?
Nani kataja ushamba?
Sasa Mungu akupe nini tena wakati umeshakutana na wakufanana nawe hadi kucha 😂Una vikucha vimechanua kama vyangu 🏃🏃🏃😂
Hujaelewa, tunangalia "tango" kama linaonekana kwa nje na kama limepinda ama limenyooka.Huwa namwambia kabisa fundi,
Hakikisha suruali inakua na zipu kubwa kama mdomo wa ng'ombe.
Chululu si ndondondo, we kuweza?Tunanenepesha chululu kwa kutumia nyuki wadogo 😅😅😅😅 wateja walete kipenzi Aaliyyah
muulize raraa rereeMaana yake ana kibamia siyo...😁😁
Hujamuelewa mleta mada. Yeye hajazungumzia vigezo vya wanaume wa kuingia nao kwenye mahusiano amesema kikawaida tu tukikutana na wanaume popote pale nini hasa tunaangalia ndio nikataja hizo.Standards zako zipo juu sana...seems u very picky
Ok..nimekuelewaHujamuelewa mleta mada. Yeye hajazungumzia vigezo vya wanaume wa kuingia nao kwenye mahusiano amesema kikawaida tu tukikutana na wanaume popote pale nini hasa tunaangalia ndio nikataja hizo.
Usiwadharau bwana wengine ndio tunapenda. Unaamini nini mwanaume akiwa ananukia?Mimi ni Me nikisikia mwanaume ananukia Huwa namdharau 😂😂
Mm hata sikumbuki wangu niliangalia nini...😃😃😃😃😃 I think kwa sbb alikua ana ni spoil...na ni smart upstairs yani ni ana akili ya darasani...ya maisha n.k haongei hovyo hovyo...
Mtoto wa mama ,ni wale Huwa wanajiliza Liza Kwa Wanawake na kujinyonga au kuvurugika maisha kisa wameshindana na mwanamke.Usiwadharau bwana wengine ndio tunapenda. Unaamini nini mwanaume akiwa ananukia?