Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Nafata vile mwanangu anataka😄Ujage bhana alaaaa nishakuombea msamaha kwa mods😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafata vile mwanangu anataka😄Ujage bhana alaaaa nishakuombea msamaha kwa mods😂😂
Mwanao ana umri ganNafata vile mwanangu anataka😄
Yupo tumboni😌Mwanao ana umri gan
😊😊😊😊Yupo tumboni😌
Uzi ufungwee,
Ananiendesha balaa sometimes natamani matikitiki ya kuchemsha😂😂😊😊😊😊
Aiseee ngoja niendelee kumsubiri kajomba kangu
😂😂😂😂 Hata kama chizi bora awe anapumuaHalafu wanawake wakishafika 45 , hawachagui tena ni kukokota aliepo mbele yake
Chai hiiAnaniendesha balaa sometimes natamani matikitiki ya kuchemsha😂😂
Tena ya moto🤣Chai hii
Niingie jua kali au sio? 😹Ile ww ni bonge la muigizaji
Ubuyu to the mulaaah 🤣🤣Mpenda ubuyu 😀
Hukumpa namba? 😜Page imefika mwisho 😂😂😂😂
Labda nimalizie tu
Kaka wa watu alinishukuru sana.
Nilimfanyia wema Kwa sababu mimi siyo mwizi na pia nililipia wema alionifanyia njiani.
Chap yaani Kuna vitu unavyo vya maana sana.Niingie jua kali au sio? 😹
Hapana NkamuHukumpa namba? 😜
Nkamu malizia story km umeshindwa hapa basi ntakucheck WhatsApp usintanie hii story bado haijaisha 🤣🤣🤣Hapana Nkamu
Nilikula Kwa macho