Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

haipo sababu ya kuoa single mom, wazazi hawapendi hata sisi wanaume wa ukweli hatupendi labda kwa limbwata
ukiona umezalishwa bila kuolewa utaendelea kupigwa miti na masela mpaka kine..e kisinyae
 
Ila single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.

Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)

Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.

Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.

Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.
 


Huyo jamaa anayemsumbua sumbua mkeo kumfyekelea mbali ulisubili nini wacga atangulie mbele za haki
 
Huyo jamaa anayemsumbua sumbua mkeo kumfyekelea mbali ulisubili nini wacga atangulie mbele za haki
Ndiyo nilikuwa nataka kumfanya awe mke lakini ndugu yangu dah! Yaani hayo mambo yalikuwa yananivuruga mpaka kazini.
 
haipo sababu ya kuoa single mom, wazazi hawapendi hata sisi wanaume wa ukweli hatupendi labda kwa limbwata
ukiona umezalishwa bila kuolewa utaendelea kupigwa miti na masela mpaka kine..e kisinyae
Unaanza mechi kama ya leo eti NKana wana moja simba bila hiyo match gani sasa au dhuluma.
 
Kuwala tu sawa, siyo kuoa..!
SINGLE MAZA WA TAMU SANA. ILA UBAYA UPATE KILAZA BWANA WEE UTAJUTA, awe muongo awe bado anauhusiano wa karibu na jamaa yake, awe na hurumaa, msiri, dhaaa mada safi sana
 
Kuwala tu sawa, siyo kuoa..!
Kuoa hao utakumbana na changamoto kubwa sana. Mimi nina uzoefu na kadhia zao. Kwa sababu kampani yangu wengi ni watu wazima na huwa nawaomba ushauri katika baadhi ya mambo. Niliwaomba ushauri kuhusu huyo singo mama, aisee! Walishituka kwanza wakaniambia "Kijana usijifanye mwema sana utaumia, Dunia ya Leo kwa mazingira tunayoishi nayo ni tofauti na sisi(Wazee) tuliyotoka nayo"

Wakaniambia achana nao hao masingo mama. Kiukweli nilikiona mwenyewe na nikaachana naye.
 
Hivi match inaanzaje team pinzani inaongoza moja bila..??
 
Umenena vema mkuu
 
Mkuu,
Kuwa unatumia herufi ndogo,
 
wanawake wengi wa mjini ni single mother sema hawakunyonyesha. tena bora hao unaowaona wanamtoto mmoja au wawili wako salama kwa kuwa waliogopa kutoa mimba kuliko hawa unaowaona hawajaolewa na hawana watoto wakati muda ushapita unajikuta ukioa mwanamke anakuwa na stress kwa kuwa wakati mwingine anawakumbuka watoto ambao hakunyonyesha.
 
Naowa bikra.
 
Naowa bikra.
yuko rafiki yangu alioa bikira kwa ndoa ya kikatoliki kabisa lakini siku mwanamke alipojaribu nje mwanamke hakuwa tayari kurudi ndani. jamaa kalilia ndoa kwa miaka 10 ikashindikana ikabidi askofu akubali ivunjwe.
hivyo bikira sio kigezo cha kuepuka changamoto za ndoa we pambana nazo kadri zitakavyo kuja kwa kuwa wanawake hatutaweza kufanana nao hata siku moja na mbaya zaidi tumekubali watutawale hivyo wacha tule jeuri yetu kwa uzembe wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…