Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nina ndugu yangu alizaa na single Maza miaka ya zamani huko.
Baadaye yule mama akaolewa sehemu nyingine na mume hawataki watoto wa mwanzo.
Ikabidi ndugu yangu apewe hao watoto.
Mkubwa wa kike 20 years.
Kilichofuata yule binti naye akazalishwa mtoto wa kiume.

Familia yote imesambaratika. Haieleweki yupi Yuko wapi.
 
Kwakweli kama vyuma visipolainika,uwezo wa kufikiri wa wabongo wengi utapotea.....watu wamevurugwa yaan wanaongea moshi mtupu.....
 
Kwa ushauri huu bila ya shaka unaishi Chato.😆


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ni zaidi ya upumbavu.....majutu mengine sijui wamekulia wapi?
 

Mtoto wa nyoka ni nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…