Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sasa wewe unaniita 'tahira' kama nani?? Kwani ni wanaume wangapi hawatongozi hovyo?? Acha kuuliza maswali ya kipuuzi!! Hao wanawake kukataa haibadilishi ukweli kwamba wanaume ndiyo chanzo maana ninyi ndiyo mnatongoza ndiyo ujibu sasa swali nililokuuliza je mwanaume kutongoza ndiyo hana makosa ila mwanamke kukubali ndiyo ana makosa??
wewe tahira nini??kwani wanawake wangapi wanatongozwa na wanakataa?
 
Na mbaya zaidi hataki kukubali kwamba huo ni mtazamo wake analazimisha mtazamo wake ndiyo uwe uhalisia yaani kwamba watu waamini mtazamo wake
Huo ni mtizamo wako binafsi kila mtu ana maamuzi yake.
 
we ndo mpumbavu kweli,kuna wanawake kibao wamekataa na tunayoyaoongelea hapa hayajatokea,nini chanzo cha hayo yote kutokutokea?


Once a baharia always a baharia
 
Nakuuliza tena wewe unaniita mimi mpumbavu kama nani kwa mfano??

Hiyo sentensi yako ya mwisho ndiyo nilitaka kuisikia kwahiyo mwanaume kuwa baharia ni sawa na ndivyo inavyotakiwa si ndiyo??
Sijajibiwa hapa --- kuna wanawake kibao wamekataa na tunayoyaoongelea hapa hayajatokea,nini chanzo cha hayo yote kutokutokea?


Once a baharia always a baharia
 
we ndo pumbavuuu kweli,kutongoza hovyo na kutongoza kawaida yote yale yale


Once a baharia always a baharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…