Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taaluma gani hiyo ?
Kizungu si lugha tu kama lugha nyingine nataka nione mke wa nne muzungu,kwahiyo najipanga kabisa mapemaaa.
Mbona nilishakujibuKwanza mnataka kumuingiza wapi ? Sijajibiwa hilo swali.
Usitaje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtakuwa hamuelewani humo ndani Haki ya Nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzungu!?!!
Unataka nitaje taaluma yako!?[emoji14][emoji14]
Sijaona embu nijibu tena.Mbona nilishakujibu
Rudi juu utafuteSijaona embu nijibu tena.
Hii mada ya huu uzi bila shaka iliisha sio au mko mapumziko ?Hatuchekani mwaya wote tunaungaunga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi mkinichokoza nawapa AMANI tu.
Siku nyingine.Rudi juu utafute
Brother Nyenyere ameenda likizo fupiHii mada ya huu uzi bila shaka iliisha sio au mko mapumziko ?
Siku nyingine.
Njoo huku,nikwambie zuri neno.Sawa
Japokuwa hakuna Lugha iliyokaa kielimu kuliko Kiarabu ila kujifunza lugha nyingine ni jambo zuri pia.
Nifundishe aisee ung'eng'e.
Ndio hivyo,hakuna lugha iliyokaa kiufundi kuliko Kiarabu.Kielimu tena?? Sema mimi nchi zinazonifanya nikipende kiarabu ni United Arab Emirates na Qatar ila nchi kama Oman na Saudi Arabia......
Naomba niishie hapa!!
Aahh kabisa maana kiingereza ni lugha tu na siyo kipimo cha akili ya mtuUmeona eeh!?
Kinamtosha kabisa..
Kwanza taaluma yake sio lazima ajue kidhungu [emoji85][emoji85]
Sijui nimchokoze kidogo....halafu akwaka wote tunaondoka.
Ni njia pia ya kutuwahisha kulala[emoji1787][emoji1787]
Kumbe unakipenda kiarabu...? Safi sana.Kielimu tena?? Sema mimi nchi zinazonifanya nikipende kiarabu ni United Arab Emirates na Qatar ila nchi kama Oman na Saudi Arabia......
Naomba niishie hapa!!
Muulize aliyeandika hiyo sentensiKwanza mnataka kumuingiza wapi ? Sijajibiwa hilo swali.
Nimeshamalizana nae.Muulize aliyeandika hiyo sentensi
Ila Kuna watu Hadi unaona tu Bora angeongea kiswahili..
Ujue broken inamkera msomaji/msikilizaji!?
Hii mada ya huu uzi bila shaka iliisha sio au mko mapumziko ?