uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Nipatie mmoja nitest zaliUnaanzaje kumuoa singo maza??? Mabaharia mnakwama wapi? Njooni niwape connection ya mabinti bikra wanaosubiria upepo wa kisulisuli ili waolewe.
Usithubutu! Usithubutu! Usithubutu! Kuoa singo maza, ni maana hiyo.
Kwa kauli hii Joshua alikuwa na moyo mgumu sana. Ningekuwa mm, ningezimia na kufariki muda huo huo. Inaumiza sana.mkewe akimwambia kuwa ameamua kurudiana na Baba wa mtoto wake.
Nitafute chobingo kule nikupe connection baharia. Achana na masingo maza, siyo viumbe hao.Nipatie mmoja nitest zali
Anaitwa lilian Kamazima aliwai kuwa miss Tanzania 2014 to 2016 yupo instagram anatumia jina ilo ilo kama unataka picha yakeSi umtaje huyo single mama mkuu, mbona mwakasege yeye umemtaja.
Yule binti mzuri balaa .Anaitwa lilian Kamazima aliwai kuwa miss Tanzania 2014 to 2016 yupo instagram anatumia jina ilo ilo kama unataka picha yake
Watu kama nyie tunawaangalia then tunacheka kwa herufi kubwa, ubwabwa wa shingo haujawatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kauli hii Joshua alikuwa na moyo mgumu sana. Ningekuwa mm, ningezimia na kufariki muda huo huo. Inaumiza sana.
Singo maza ni mwanamke aliyekosa maadili toka tumboni kwa mamake, ndiyo maana akazaa kabla ya ndoa. Baharia unaanzane kumuoa???
Inaelekea hujaelewa nilichoandika, kama jambo hulijui ni bora unyamaze au uulize.Kwa hyo we vyote marehemu joshua alikua anakupa habari kwa kila kilichokua kinatokea au ni fununu tuu??
Hili ni kweli pia.Anaweza asiwe single maza na akakuvuluga vile vile
Fungua pm tupate vitu hivyoUnaanzaje kumuoa singo maza??? Mabaharia mnakwama wapi? Njooni niwape connection ya mabinti bikra wanaosubiria upepo wa kisulisuli ili waolewe.
Usithubutu! Usithubutu! Usithubutu! Kuoa singo maza, ni maana hiyo.
Si ameandika apo alikuja kumuoa kabisa,sasa ataoaje na asile tundaAlikuwa ashasex nae?
Kuoa single maza inahitaji moyo wa chuma ila ndiyo hivyo ni watamu balaa.
Pia naongezea, kuna kupenda kupendwa na kupendana...Anaweza asiwe singo maza akarudiana na aliyemtoa bikra, anaweza akawa bikra akakutana na baharia akamchanganya akaona kwako alikuwa anapunjika. Mambo ya ndoa ni kumuomba Mungu tu
Mtamu ambaye hajazalishwa bwanaKuoa single maza inahitaji moyo wa chuma ila ndiyo hivyo ni watamu balaa.
Vurugu zake zina afadhaliAnaweza asiwe single maza na akakuvuluga vile vile