Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivo vitu ni vitamu na nilivijua huko huko shule kuna ile ya kukaanga unga wa sembe ukipoa unachanganya na sukari tulikua tunaita magunia loh vitamEnz za primary school hizo mwalimu anafundisha maarifa ya jamii uoto wa asili nyie mnatafuta harufu darasa zima hahahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi hakunaga tena sahiv wanakula popcornhivo vitu ni vitamu na nilivijua huko huko shule kuna ile ya kukaanga unga wa sembe ukipoa unachanganya na sukari tulikua tunaita magunia loh vitam
Unakuta kwenye mfuko wa kaptula umeyajaza yamekuchafua kwa mafuta ljn hujali wala nn shule Raha SanaNimecheka sana aise! Sisi hizo tuliziita bisi kishule shule yaani
KabungujaHatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded
Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo madude yalinichelewesha sana shule vipindi vya mchana mpaka tuyakaange kwenye sufuria na jamaa yangu (Chija) RIP.Unakuta kwenye mfuko wa kaptula umeyajaza yamekuchafua kwa mafuta ljn hujali wala nn shule Raha Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh, back in my younger days.Hatari sana huu mzigo enzi za primary school ndo unatrend yanachukua sehem ya simu mfukoni mnakuta mwana anatembea full loaded
Ebu wale wakongwe tukuje kukumbushana kidogo Wakishua someni commentsView attachment 1467486
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaga Raha Sana mm nilikuwa nachelewa kulala kwa ajili ya kuyakaangaHayo madude yalinichelewesha sana shule vipindi vya mchana mpaka tuyakaange kwenye sufuria na jamaa yangu (Chija) RIP.
Dah tulikuwa tunaenda kuiba mahidi yaliyoanza kukauka kwenye mashamba ya watu aisee hatari sana