Wakishua hawajui. Ila wale wakongwe wenzangu mlikuwa mnayaitaje haya mazaga "kichuga kiboboroo"

Wakishua hawajui. Ila wale wakongwe wenzangu mlikuwa mnayaitaje haya mazaga "kichuga kiboboroo"

Yeah ukiyakoweka dizain yanalainika hata kwenye kutafuna hayawi magumu kama yasiyolowekwa


Cc Smart911
hayo mahindi uliloweka na magadi??? ulilowekwa tu kwenye maji ya kawaida unalala humo had asubuh unakaangwa kwenye mafuta yan ni vitam vinakua vinalini kuliko vile ambavyo unakaanga hivi hivi bila kuloweka hua n vigumu
 
Makanga, (mahindi ya kukaangwa), yakisagwa unga unaitwa kimbondi.
 
makukuru.hahaha kuna selaa wangu moja bonge kwao ni fulu madiko yaani tukitoka skonga lazma nimsisitizie kesho asisahau mazaga ikiwemo makukuru.Big alikuwa anajikoki yule babalai ni kuanzia vitumbua wali kiporo gubiti na vibajia kwenye spoti.yaani mifuko yake ya pensi ilikuwa imejaa mafuta km fundi grisi vile.dawati letu lilijaa sisimiz
 
Back
Top Bottom