Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
hayo mahindi uliloweka na magadi??? ulilowekwa tu kwenye maji ya kawaida unalala humo had asubuh unakaangwa kwenye mafuta yan ni vitam vinakua vinalini kuliko vile ambavyo unakaanga hivi hivi bila kuloweka hua n vigumu