Wakishua tu: Ipi sentensi sahihi kati ya hizi mbili?

Wakishua tu: Ipi sentensi sahihi kati ya hizi mbili?

hapa nitajibu 2

sababu moja inaonekana ndio sahihi kwa "taste" yake tu ukiisoma,sasa najua tu hilo haliwezi kuwa jibu
 
Ndo nasubili kujiunga pale shule Mpya emperial ya chalinze nikihitimu niulize hilo swali mkuu hutajutia majibu yangu
 
zote zimekosewa/hazijakamilika/fragments ama zinatakiwa kuongezwa maneno au alama ya pumziko fupi koma.
muhimu: jibu hili nimelupata baada ya kumuuliza mtoto wa kishua ambaye na date naye.

mengine yana baki palepale kuwa nimesoma shule ambayo kunyolewa na mkasi nywele zikizidi ni jambo la kawaida.
 
Na kweli,kwanz debate shuleni kwetu ilikua mara moja kwa miaka miwil,na motion ni "Education is better than money"
Watajikanyaga hapo wenye kingreza chao mpk nibate inaisha,wengine kazi yetu kushangilia tu bila hata kuelewa chochote
[emoji23] debate yenyewe unakuwa umeandika kwenye karatasi unaisoma shughuli wakuulize swali utatamani kujikojolea

Green#myself
 
Nyie hamna tofauti na sisi tuliokuwa tunabeba mbolea nyumbani na kwenda nayo shule
[emoji23] [emoji23] tunapanda nayo kwenye daladala na kumsalimia mwalim uku umeweka dole gumba usoni,hili swali ni la wale waliokunywa uji wa maziwa na kudhani kwamba madumu ya korie hayafai kubebea maji
 
zote zimekosewa/hazijakamilika/fragments ama zinatakiwa kuongezwa maneno au alama ya pumziko fupi koma.
muhimu: jibu hili nimelupata baada ya kumuuliza mtoto wa kishua ambaye na date naye.

mengine yana baki palepale kuwa nimesoma shule ambayo kunyolewa na mkasi nywele zikizidi ni jambo la kawaida.
Ulivyoanza mwanzo nikasema "Yeees wa kwenye darasa wapo 45 si ndo huyu"[emoji23]
 
Back
Top Bottom