Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmecheka na tonge mdomo. Mkuu umeumbua ujue! Utasikia mimi sijasoma ya heritage.wote apa lazima wakane shule zao
Kweli bhana isijekuwa kachagua kwa kufumba macho tu hata hajui maana.Mkisha Maliza Kusema Sentence Ipi Ni Sahihi Mniambie Na Tafsiri Ya Izo Sentence
Kwa Msaada Zaid
Lazima una mpunga wa kutosha. Wakati wanahangaika na madarasa wewe ulikuwa unazisaka.Kwahiyo sisi ambao hatukwenda kabisa shule tunakua kundi gani hapa?
Mkuu unafaa kua mtabiri.😀😀Lazima una mpunga wa kutosha. Wakati wanahangaika na madarasa wewe ulikuwa unazisaka.
Nimejifunza kwa wengi ambao niliwaacha kitaa sahizi hunipa lifti na kuniazima magari.Mkuu unafaa kua mtabiri.😀😀
[emoji23] debate yenyewe unakuwa umeandika kwenye karatasi unaisoma shughuli wakuulize swali utatamani kujikojoleaNa kweli,kwanz debate shuleni kwetu ilikua mara moja kwa miaka miwil,na motion ni "Education is better than money"
Watajikanyaga hapo wenye kingreza chao mpk nibate inaisha,wengine kazi yetu kushangilia tu bila hata kuelewa chochote
Mpambane tu kutafuta ada ya kwa rasi.simbaKwahiyo sisi ambao hatukwenda kabisa shule tunakua kundi gani hapa?
[emoji23] [emoji23] tunapanda nayo kwenye daladala na kumsalimia mwalim uku umeweka dole gumba usoni,hili swali ni la wale waliokunywa uji wa maziwa na kudhani kwamba madumu ya korie hayafai kubebea majiNyie hamna tofauti na sisi tuliokuwa tunabeba mbolea nyumbani na kwenda nayo shule
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jasho mpaka kwenye vidole[emoji23] debate yenyewe unakuwa umeandika kwenye karatasi unaisoma shughuli wakuulize swali utatamani kujikojolea
Green#myself
Ulivyoanza mwanzo nikasema "Yeees wa kwenye darasa wapo 45 si ndo huyu"[emoji23]zote zimekosewa/hazijakamilika/fragments ama zinatakiwa kuongezwa maneno au alama ya pumziko fupi koma.
muhimu: jibu hili nimelupata baada ya kumuuliza mtoto wa kishua ambaye na date naye.
mengine yana baki palepale kuwa nimesoma shule ambayo kunyolewa na mkasi nywele zikizidi ni jambo la kawaida.