Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

Lakini wanakuwa wamekusanya pesa za kutosha uzeeni hawapati tabu. Huku kwetu wanakomaa hadi uzeeni kisa njaa

Tatizo wa kwetu wanaingia kichwa kichwa kuhusu mikataba ya label au kupromote bidhaa au huduma flani ya kampuni....hawana hata mwanasheria wa kuwatafasiria sheria/taratibu za mkataba...kiufupi wametanguliza sana njaa mbele, mwisho wa siku wanakuja kulia wamedhulumiwa au wanahitaji mchango wa matibabu n.k. kutoka kwa mashabiki pindi wanapopata maswaibu.

Kitu kingine, hawawekezi kwenye biashara zingine. Wao hufikiria watadumu milele kwenye music industry. Hata wakianzisha biashara huamini jina lao pekee litatangaza. Kwenye biashara kuna mambo mengi ya kufanya kuliko wanavyofirikiria....

Kilichobakia sasa hivi wanaangalia nani anaongoza views nyingi youtube, followers wengi instagram na shangwe nyingi za jukwaani ukijumlisha na kiki za maisha fake kwa kusema wamenunua nyumba au gari. Bila kuangalia uhalisia wa kipato chao wanachoingiza na maisha yao halisi wanayoishi kwenye social media...ni vitu viwili tofauti. Wanaishi kufurahisha mashabibiki kwamba wana maisha ya juu.
 
Wenzetu wako tofauti sana, wakiona muda wao unawatupa mkono...husoma alama za nyakati na kwenda chini ya maji kuendelea na majukumu mengine.

Na maisha huendelea kama kawaida....wanastaafu kwa heshima.

Huku kwetu ni mpaka mtu avunjiwe nazi njiapanda au media zimbanie hahahahaaaa
Hahahah wa2 mna vi2ko
 
Master P
Sisco
Dru Hill
ODB
Laurine Hill
Shania Twain
KCI & JOJO
Keith sweet
REY J
MONICA
COOLIO
CRAIG DAVID
ALL 4ONE

the list is too long jazia na wengine

achana na waliofariki
MIAKA YA 1995 nikiwa KIBOSHO GIRLS, weekend tunaenda kujirusha na ma men wa UMBWE, duh jamaa anakubambia na anaweza akachomeka mkiwa mmesimama mnacheza blues ya shania Twain "from this moment" Einstein 40 umenikumbusha mbali sana aisee, wengine bikr zilitolewa kipindi hicho.
 
Hakuna aliewakumbuka kina DMX? Ja Rule? Fat Joe? Tyrese? Joe Thomas? Ashanti? Dah...
Joe Thomas alikuwa na slow zakee kali kama za KC & Jojo
#AllMyLife #Vevo




DRU HILL


BOYZ II MEN mabishoo dunia nzima hawa, mademu wa Bongo walikuwa wanawapigia masta bee


LAURYN HILL balaa kabisa


KEITH SWEAT watoto wanasauti kama malaika, jamani jamani leo mbona rahaaa
 
MIAKA YA 1995 nikiwa KIBOSHO GIRLS, weekend tunaenda kujirusha na ma men wa UMBWE, duh jamaa anakubambia na anaweza akachomeka mkiwa mmesimama mnacheza blues ya shania Twain "from this moment" Einstein 40 umenikumbusha mbali sana aisee, wengine bikr zilitolewa kipindi hicho.
We nawe ulianzaga fujo siku nyingi sana aisee, sijajua kama umetulia au bado yule wa zamani
 
Boss nimetulia asee, ila dah kama raha tumekula, Ysni kipindi hicho wavulana wetu wanavaa mashati ya draft draft kama snoopy doggy doggy huku wamefunga kilemba kama Tupac shakur.
Buti lazma liwe ovwersize
Na suruali lazima iwe bwanga pia, time flies by quickly 🙂 🙂 🙂
 
Nimewakumbuka;

LL cool J
Mc Hammer
Vanilla ice
George michael
Michael bolton
Slim shady
Shinehead na wimbo wake wa Iam a Jamaican in New york
Salehe Jabir
Burning spear...
 
Back
Top Bottom