hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Acha kabisa kuna ile nyingine alifanya na Tonie Braxton ni noma na nusuKuna ngoma ya BABEFACE inaitwa THE LONELINESS ilikuwa bonge la hit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa kuna ile nyingine alifanya na Tonie Braxton ni noma na nusuKuna ngoma ya BABEFACE inaitwa THE LONELINESS ilikuwa bonge la hit
Sisqo alikuwa anaimba jamani Sijawahi kuona wakumfananisha naeIncomplete by Sisco
These arms by All 4 One[/i]
mambo ya kale ni balaaAcha kabisa kuna ile nyingine alifanya na Tonie Braxton ni noma na nusu
alikuwa mzuri yule mtoto Duuh!!!Christina Millan ameishi sana kwenye wall paper za Samsung L6 na Nokia enzi hizo, she was so beautiful back then
ODB ni marehemuMaster P
Sisco
Dru Hill
ODB
Laurine Hill
Shania Twain
KCI & JOJO
Keith sweet
REY J
MONICA
COOLIO
CRAIG DAVID
ALL 4ONE
Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama:
Tyreese
Ice Cube
Quincy
Ludacris
XBIT
Willy Smith
Qeen Latifa
Wengine wamekuwa majaji kwenye "BSS" za huko majuu kama:
Usher Raymond
Dj Khaled
Adams
P. Didd
NK
the list is too long jazia na wengine
achana na waliofariki
Chingy
Iyaz
Sean kingstone
Shaggy
Bow wow
Ashanti
Keyshia cole
Jordan spark
Sean paul bado yupo mkuu. Ni mwaka juzi tu katoa ngoma na Migos naikubali sana.Mkuu kwenye hii list yako ongeza jina la SHOMPOO (Sean Paul) hapo juu ya Shaggy😀
Jagged edge ni shidaa kuna ngoma "so high" na "walked outta heaven" aisee mpaka leo ninazo kwn collection zangu.Wengine hapo hata si wa Zamani, kuna jamaa alikuwa anaitwa
-Jermaine Dupri, kina Da brat, kundi la jagged Edge, Mase etc
Nyingine dymitteWestlife waliunga tena mwaka juzi wakatoa na wimbo unaitwa hallo my love.
Soon wanaweza rudi tena kutrend kama awal
nyingine dynamiteWestlife waliunga tena mwaka juzi wakatoa na wimbo unaitwa hallo my love.
Soon wanaweza rudi tena kutrend kama awal
Hata P Diddy hana hela?Hakuna chenye mwanzo kisicho kuwa na mwisho. Muda wao ulipita. Leo hii ni Rihanna, Drake, Cardi B, Meg Thee Stallion, nk. Beyonce na Jay Z wao wameweza sababu ya Rocafella empire.
Muziki unahitaji hela nyingi sana ya promotion. Jay Z na Beyonce wao wana hela na haiishi. Hao wengine walitegemea hela za record label ambazo zinatoka kwa mahesabu makali. Walipozikosa na umaridadi nao ukapotea.
Asante kwa uzi mzuri wa kutukumbushia.
P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.Hata P Diddy hana hela?
P DIDDY ANAPAMBANA ZAIDI KWENYE LEBO YAKE YA MUSIC YA BAD BOY ENTERTAINMENT NA KAMPUNI YAKE YA NGUO YA SEAN JOHN HIVYO HUYU BADO PESA IPO YA KUMTOSHA.P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
EMINEM - The richest hiphop artist currently,P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
Hapana. That is not true. He has sold the most records, but he is not richer that Dr. Dre, Jay Z or P DiddyEMINEM - The richest hiphop artist currently,
(No digit) hii ngoma yao ilisubua saana hawa jamaaBlack Street
True, anawakimbilia kina Dre na Jay ZHapana. That is not true. He has sold the most records, but he is not richer that Dr. Dre, Jay Z or P Diddy