Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

ODB ni marehemu
Coolio alipewa deal la kutoa elimu ya UKIMWI, ndio akatoa wimbo wa Too hot. Naona kapotelea huko mazima
 
Hata P Diddy hana hela?
 
Hata P Diddy hana hela?
P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
 
P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
P DIDDY ANAPAMBANA ZAIDI KWENYE LEBO YAKE YA MUSIC YA BAD BOY ENTERTAINMENT NA KAMPUNI YAKE YA NGUO YA SEAN JOHN HIVYO HUYU BADO PESA IPO YA KUMTOSHA.
 
P Diddy ana hela sana. Lakini ameamua tu asifanye music binafsi. Hata Dr Dre, hajatoa album muda mrefu sana. Dr Dre, P Diddy, na Jay Z ni wasanii wa hip hop watatu matajiri kuliko wengine wote wa music wa hip hop duniani.
EMINEM - The richest hiphop artist currently,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…