cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,800
nitakujaaaa best wa mimi, nimeshukuru kusikia u r fine rafiki, salimia woteeee uwajuao, wanijuao [emoji12] [emoji12]Aisee mie bhana nipo.
Majukumu ya kimazingira yametufanya tuwe mbalimbali.....lakini nipo japo naingia Jf kwa jicho moja, si unajua amri ya kutoshika simu makazini inatiliwa mkazo sasa?
Mababy zangu hawajambo?
Siku jifanye kama umepotea njia upotee hadi ufike nyumbani Kinondoni basi.