Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Duh maisha mzungukoPale gereji ya wasomali karibu na saba saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh maisha mzungukoPale gereji ya wasomali karibu na saba saba
JamaniSasa hivi yupo ndani ya pamba za security guard
Unawashwa washwa!yuko waqpi nyarandu....oh sorry
Angalia isijekuwa ulipomuona alikuwa anashoot kwa jili ya album yake mpya,wewe unasema alikuwa analinda..Inspector kawa mlinzi maisha Aya [emoji3][emoji3][emoji3]
Wa mbeya hawa wapo dar wako wanafanya kazi duka la dealer Wa spare za scania tz tajiri mmoja toka mbeya anaitwa KisanganiWako wapi Uswahilini matora watoto wa tanga hawa
Hisabatic yupo Mbeya now...karudi uwanjani anapasha kikapu pale Youth Center kila jioniAhsante. Yuko wapi mshikaji, aliflow mistari mizuri sana.
Waliimba kibao kinaitwa "KOSA LA MAREHEMU"
Duuuh.... Kibao chao kilikuwa ni noma sana.
Kuna mwingine aliimba wimbo matata sana. Jina nimesahau ila wimbo unaitwa KAZEZE
Mike T mnyalu ni wa huko huko kwenu nyanda za juu kusini, yuko wapi?Hisabatic yupo Mbeya now...karudi uwanjani anapasha kikapu pale Youth Center kila jioni
Bonge moja la Mc ila ndo hayuko kwenye mainstream
ha ha ha ha ha pale yanapaki mabasi ya kimbakae au wanauza na ma scania hiviSasa hivi yupo ndani ya pamba za security guard
Unawashwa washwa!
Mike yuko huko huko kwenu Dar ana mishe zingine tu baada ya kuzinguana na Airtel miaka flanMike T mnyalu ni wa huko huko kwenu nyanda za juu kusini, yuko wapi?
Ngoma zake, kama, nampenda
OCGODG kama sikosei...yuko ughaibuni huko
Hapana. Kimbakae ile ni garage ya magari ya ifakara. Anayosema jamaa Hiyo garage ni kama waenda saba saba wall imepakana na jeshi.ha ha ha ha ha pale yanapaki mabasi ya kimbakae au wanauza na ma scania hivi
Huyu jamaa sijuhizi yupo EuropeAhsante. Yuko wapi mshikaji, aliflow mistari mizuri sana.
Walikuwa wanatokea tanga barabara ya 16Kumbe ni wa Tanga!? Miaka yote najua ni wa Mby
[emoji2] [emoji2]Analinda wap nikapate fursa ya kumwona live