shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,514
umemsahau seven,hivi kiba hajala kweliShose
Tausi Likokola
Ray C
Zay B
Fina
Aunt Ndina
Binti Maumba wa Kino
Mboni Mhita
Aminata Keita
Happy Magese
Mercy Galabawa
Kibibi
Faudhia
Radhia
Halima Bandawe
Shose Sinare alikuwa anafanya kazi Stanbic bank Tz kama mkuu wa moja idara za benki hiyo.Shose
Tausi Likokola
Ray C
Zay B
Fina
Aunt Ndina
Binti Maumba wa Kino
Mboni Mhita
Aminata Keita
Happy Magese
Mercy Galabawa
Kibibi
Faudhia
Radhia
Halima Bandawe
Kuna watu sio rahisi kuwajua mademu zao. Utamjua yupi Sasa katika list?Na hatukuwahi kumjua demu wake, enzi hizo muziki sio KIKI.
Alikuwa ana asili ya mkoa gani?Huyu KIBIBI nilikaa naye nyumba moja Makumbusho,huyu msichana alikua mzuri aisee
Wow kumbe ndiye huyu dada mrefu kama twiga😘Happy magese siku hizi anaitwa millen magese sijui ilikuwaje jina likabadilika...yupo hapa hapa mjini analea mtoto wake wa kizungu.. prince kairo
Ndio yeyeWow kumbe ndiye huyu dada mrefu kama twiga😘
Ok! Nampendaga na historia yake hadi kupata mtoto mmh, she's amongst strong womenNdio yeye
"Mpelekee Moto"Ona mashairi ya enzi zetu.
Kipindi hicho mziki mziki kweli.sio hawa wa sasa
Fina nadhani ndio Fina Mango alikuwa clouds kitambo akawa anafanyakazi UN nilisikia.
Mercy Galabawa alikuwa kisu
Halafu zote zilikuwa za Moto.Nakumbuka wimbo huu ulifanana Sana na wimbo wa Jay mo Kama unataka demu... Kiasi ikaleta bifu Kati ya wawili hao coz Kila mtu alisema mwenzie kaiba idea...Hadi Leo hatujui idea ilikuwa ya Nani
Fina nadhani ndio Fina Mango alikuwa clouds kitambo akawa anafanyakazi UN nilisikia.
Mercy Galabawa alikuwa kisu
Ahaa kumbe....Ila kipindi kile alikuwa akihojiwa anadai idea ni yakeIdea ilikuwa ya Fa, Jay Mo aliisikiliza wimbo wa "mabinti"wakati ameenda kushirikishwa wimbo wa "ingekuwa vipi" na Fa ambao ndio ,so nae akaona aje na idea'' kama unataka semi"
Yaani ilikuwa noma aisee!! Halafu ma dj walikuwa wanazipiga kwa kuongozana...yaani ukisikia mi na mabinti damu damu inayofuata lazima iwe Kama unataka demiHalafu zote zilikuwa za Moto.
hahahahhahahah"Mpelekee Moto"
Mboni Mhita mtoto wa kitanga!Shose
Tausi Likokola
Ray C
Zay B
Fina
Aunt Ndina
Binti Maumba wa Kino
Mboni Mhita
Aminata Keita
Happy Magese
Mercy Galabawa
Kibibi
Faudhia
Radhia
Halima Bandawe
Seven
Miriam Ikoa
Mboni mhita mwanasiasaShose
Tausi Likokola
Ray C
Zay B
Fina
Aunt Ndina
Binti Maumba wa Kino
Mboni Mhita
Aminata Keita
Happy Magese
Mercy Galabawa
Kibibi
Faudhia
Radhia
Halima Bandawe
Seven
Miriam Ikoa