Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

nimekua nae huyo binti, skuhiz anaishi zimbagwe anawatoto wawili.
anakarbia kuzeeka asaiv
 

Shose Sinare si ndo yule binti alikuwa kwenye kesi moja na kina Harry Kitilya?
 
Zamani title kwanza ndio zikawa zinajenga jina. Either alishinda Miss Tanzania, Mtangazaji etc

Sasa hivi demu akianza drama tu za Instagram na online TV basi.

True that!

Shule pia ilikuwa muhimu, ndiyo maana unasikia wengine wapo Vodacom sijui Stanbic mara States.... hizi takataka za kileo zinaishia Instagram tu.

“Kuna mabinti wapo kamili kila idara, familia bora na akili zisizolala... maumbo bomba na sura”.
 
Si mabinti tena sasa ni kina mama na mabibi. Maana wengi wao sasa ni 40+
 
nakumbuka huyu manzi alikua na saluni yake town mitaa ya clock tower ..fikiria miaka 6-7 nyuma dem alikua anapush Range Sport aisee !! Nilikua nammezea mate sana
Hahahahah ni noma mzee! Wakubwa ndio walikuwa wanatafuna hizo mama!
 
Wengi walikuwa watoto wa kishua na ndiyo maana wengi wametoboa. Labda tupongeze kuwa siku hizi kutrend siyo mpaka uwe wa kishua.
 
Yaani kila zama na kitabu chake!wewe km mimi.FA alikua Crush wangu asee
 
Shose Sinare si ndo yule binti alikuwa kwenye kesi moja na kina Harry Kitilya?

Daah ila maisha ni safari ndefu jamani. We hapo ulipo saivi mtu akikuambia unaweza kuja kutupwa jela kwa kesi ya uhujumu uchumi ukanyee ndoo miaka nenda rudi unaweza usiamini kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…