Prince Kesh Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 652
- 1,573
Ndio Malik Bandawe au Chiwa man wa TNG Squard..mtoto wa Tanga Line.Halima namfaham sikuwahi kujua Kama alitajwa kwenye hii nyimbo, mdogo ake wa kiume kazaa na Rose ndauka mtoto wa kwanza. Alikuwa anafanyakazi Vodacom.