Uchaguzi 2020 Wako wapi Makada kindaki ndaki wa CCM?

Uchaguzi 2020 Wako wapi Makada kindaki ndaki wa CCM?

Media za Tanzania si unaziona? Au wewe ulishajiuzulu rasmi kutoka kwenye media hizi?

p
 
Unadhani CCM wapo mtandaoni kwa sasa? Wapo vituoni kupiga kura. JPM. Arudi.
Mpgieni arudi mana mnajua fika bila yy maisha kwa nyie wana ccm hayaendi, ila sisi hata asiporudi life litaendelea, hatuishi kwa ajiri ya magufuri.
 

p

Pamoja na kustaafu na hata kama si wana media tusiyaone hata haya kuwa yako fyongo na hata kuyakemea tu?






Hivi kwa tume na CCM haya ni sawa?

Haki za wanawake nazo ni haki za binadamu. Kejeli na matusi ya nguoni majukwaani inahitaji waungwana kukemea hata kama hizo media ziko busy kufukuzia teuzi.
 
Wako vituoni kumpigia JPM zile za nyongeza tokea jana?

Wewe umepenyeza ngapi?
Hahhaha.. Nyie ni mbumbumbu yani uko hapa mda wote hata kura huendi kupiga ila unataka Lisu ashinde?

Suburi tuwafundisheni.
 

p
Ulishamrehemu shetani what could you do P?You ought to sing his hymns whether you like or not.

Wakati deep inside you lament.
 
Hahhaha.. Nyie ni mbumbumbu yani uko hapa mda wote hata kura huendi kupiga ila unataka Lisu ashinde?

Suburi tuwafundisheni.

Niko kituoni, kura napiga na siondoki.
 
Hiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
Njaa ya mtu aliyekuwa ana shibe ni kali kuliko njaa ya mwenye njaa kila siku.
 
Back
Top Bottom