Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Uzao wa watoto wake ndio tunaotaka
Quran yenyewe Imemtaja Muhammad mara chache kuliko hata Yesu.
Nafikiri kwenye hadithi watakuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzao wa watoto wake ndio tunaotaka
Soma tena ulichoandikaFamilia/Ukoo wa Mtume S.A.W yaani Banu Hashim deliberately wamehamishwa Macca na kupelekwa Jordan
Ndio maana Jordan inaitwa The Hashimite Kingdom of Jordan
Waliwaondosha makusudi Ili kuhakikisha Miji 2 Mitakatifu haishikwi na watu sahihi
Mara ngapi?Quran yenyewe Imemtaja Muhammad mara chache kuliko hata Yesu.
Nafikiri kwenye hadithi watakuwepo
Hao nawajua, generation Yao ya Sasa bado IPO? Hiyo ndio naitaka
Tutajie Puliz, tutaona unagenius Fulani hivi😀😀
Nikijitaja utasema bangi inanisumbua
Hivi hawa majamaa kwenye biblia vizazi vyao si vipo mbona vipo kimyaaYaani Yesu alizaliwa zama za giza ila babu zake tumetajiwa,ila after yeye hatuwajui
Familia/Ukoo wa Mtume S.A.W yaani Banu Hashim deliberately wamehamishwa Macca na kupelekwa Jordan
Ndio maana Jordan inaitwa The Hashimite Kingdom of Jordan
Waliwaondosha makusudi Ili kuhakikisha Miji 2 Mitakatifu haishikwi na watu sahihi
Wapo wengi sana kiongozi kila unaemuona ana kitambaa Cheusi kichwani basi jua ni ndugu yake awe mwarabu, mzungu ,au mwafrikaUsiniulize kuhusuYesu,huyo tumuweke kiporo kwanza.
Mtume Mohamad SAW ni wa juzijuzi tu,sasa napenda kujua nduguze walipo yaani ukoo wake,bila shaka bado wapo,hatuwezi pata hata majina na picha zao?
Mazinge, Mwaipopo, Ustaadh majini nk.Usiniulize kuhusuYesu,huyo tumuweke kiporo kwanza.
Mtume Mohamad SAW ni wa juzijuzi tu,sasa napenda kujua nduguze walipo yaani ukoo wake,bila shaka bado wapo,hatuwezi pata hata majina na picha zao?
Wame copy Biblia hadi wakajichanganya.... Wakamtaja Yesu mara nyingi kuliko Stelingi Mudy.Quran yenyewe Imemtaja Muhammad mara chache kuliko hata Yesu.
Nafikiri kwenye hadithi watakuwepo
Wame copy Biblia hadi wakajichanganya.... Wakamtaja Yesu mara nyingi kuliko Stelingi Mudy.Quran yenyewe Imemtaja Muhammad mara chache kuliko hata Yesu.
Nafikiri kwenye hadithi watakuwepo
Quran ipi imemtaja yesu?Wame copy Biblia hadi wakajichanganya.... Wakamtaja Yesu mara nyingi kuliko Stelingi Mudy.
Mtume Muhammad s.a.w ni Mtume wa mwisho hivyo damu ya unabii ilikomea Kwake ndio maana watoto wake wa kiume walikufa wakiwa wadogo so hana kizazi Kwa watoto wake wa kiumeUsiniulize kuhusuYesu,huyo tumuweke kiporo kwanza.
Mtume Mohamad SAW ni wa juzijuzi tu,sasa napenda kujua nduguze walipo yaani ukoo wake,bila shaka bado wapo,hatuwezi pata hata majina na picha zao?