Wazee wa "I don't want peace, I want problems always"Usiniulize kuhusuYesu,huyo tumuweke kiporo kwanza.
Mtume Mohamad SAW ni wa juzijuzi tu,sasa napenda kujua nduguze walipo yaani ukoo wake,bila shaka bado wapo,hatuwezi pata hata majina na picha zao?
...yan hampendi kuona watu wamekaa kimya mnakuja na hoja za uchokozi🤣🤣🙌🙌