Wako wapi ndugu wa ukoo wa Mtume Mohamad SAW ?

Wako wapi ndugu wa ukoo wa Mtume Mohamad SAW ?

Usiniulize kuhusuYesu,huyo tumuweke kiporo kwanza.

Mtume Mohamad SAW ni wa juzijuzi tu,sasa napenda kujua nduguze walipo yaani ukoo wake,bila shaka bado wapo,hatuwezi pata hata majina na picha zao?
Wazee wa "I don't want peace, I want problems always"

...yan hampendi kuona watu wamekaa kimya mnakuja na hoja za uchokozi🤣🤣🙌🙌
 
Vitabu vya kidini ni vitabu vilivyoandikwa katika coded language..

Ulishawahi kujiuliza wakati yesu anabatizwa kwanini njiwa alimshukia?? Kwanini popo asingemshukia, kulikuwa kuna ulazima gani njiwa amshukie,
nivigumu kwa mtu kuelewa ila wanasema tembea uwone
 
Kuna jamaa Tanga anajiita kijukuu cha mtume ilani mweusi na kipilipili
Karibu na bara na bara ya nne pale sio?🤣🤣 huwa anawapikia na ubwabwa mwingi sana na chachandu basi wanatamani wambebe akitoka huko sijui Oman
 
Waliuana wote Kwa majambia fuatilia history ya Shiah na Sunni ndio matokeo ya huo ugomvi
 
Back
Top Bottom