Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Uzi wa kufahamu walipo kwa sasa na wanachofanya wenye majina yaliyowahi kuwika sana Tanzania
Yuko wapi Tundu Antipas Lissu?
Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa ameshajitokeza sana
Yuko wapi Yusuph Manji aliyewahi kuwa bilionea wakati fulani?
Yuko wapi Benno Ndulu mmojawapo wa magavana bora wa benki kuu Africa?
Wako wapi Suleiman Kova na Alfred Tibaigana?
Yuko wapi Tundu Antipas Lissu?
Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa ameshajitokeza sana
Yuko wapi Yusuph Manji aliyewahi kuwa bilionea wakati fulani?
Yuko wapi Benno Ndulu mmojawapo wa magavana bora wa benki kuu Africa?
Wako wapi Suleiman Kova na Alfred Tibaigana?