Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama Harris kapiga huyu wa klauzi efuemu?Huyu msanii yupo wapi?View attachment 1467721
Mkuu, kama hukusikia...mwaka 2018 iv, jamaa alifariki. Umauti ulimkuta akiwa mhadhiri wa UDSM na makazi yake yakiwa Makongo Juu.Yuko wapi Misanya Bingi aliyekuwa mtangazaji Radio one Stereo?
Asnte nilikuwa sijuiMkuu, kama hukusikia...mwaka 2018 iv, jamaa alifariki. Umauti ulimkuta akiwa mhadhiri wa UDSM na makazi yake yakiwa Makongo Juu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iko wapi ile ndege ya Malaysia iliopotea na watu 200+?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wakijibu nistue mkuuiko wapi trilioni 1.5
Aisee sikujua kabisa aisee,Na abubakar Sadick kwa fujo?Mkuu, kama hukusikia...mwaka 2018 iv, jamaa alifariki. Umauti ulimkuta akiwa mhadhiri wa UDSM na makazi yake yakiwa Makongo Juu.
Iko wapi ile ndege ya Malaysia iliopotea na watu 200+?
[/QUOTE
Alishafariki Mkuu.Yuko wapi Misanya Bingi aliyekuwa mtangazaji Radio one Stereo?
misanya alishafariki kakaYuko wapi Misanya Bingi aliyekuwa mtangazaji Radio one Stereo?