Huyu msanii yupo wapi?View attachment 1467721
Anaitwa Benno villa Anthony.Amesharudi band yake iliyomlea Sikinde ngoma ya UkaeYuko wapi Mabeno Villa.....
ni mwanamziki wa zamaaani sana.
yuko wapi Ben saa8Yuko wapi Mathayo david (Mb)
Yuko wapi mheshimiwa sana Mustafa Mkulo
Yuko wapi mamaa wa KUNYWA MAJI MWANANGU ...Zakia Meghji😅😅!
yuko wapi Azory GwandaYuko wapi Mabeno Villa.....
ni mwanamziki wa zamaaani sana.
Sitasahau stry ya Shigongo aisee .alafu mbona shigongo kimya sana? Bado ni mccm??Endelea kunywa maji mwanangu[emoji28][emoji28]