sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Basi ana pepo la kukonyeza.Yes...anakonyeza Kama anafumba macho yote utacheka...anakonyeza kila mwanamke anayemwona nadhani...maana alimkonyeza had bek 3 wangu. Nikabaki nasikitika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ana pepo la kukonyeza.Yes...anakonyeza Kama anafumba macho yote utacheka...anakonyeza kila mwanamke anayemwona nadhani...maana alimkonyeza had bek 3 wangu. Nikabaki nasikitika sana
Sidhan Kama ni 'mzima'Basi ana pepo la kukonyeza.
Karma aisee haimuachi mtu salama !Amekongoroka balaa...mishavu imeshuka...kila mwanamke anayemwona lazima amkonyeze( had mabeki 3 wa forest wanaipata hii )..sijui ana pepo gani huyu mzee! Naandika haya alikua jirani yangu so namaanisha!
Mno mnoKarma aisee haimuachi mtu salama !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahOmary Mahita IGP mstaafu aliyeburuzwa mahakamani kwa kumjaza mimba house girl yuko wapi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh hatareeeh sanaaahAmekongoroka balaa...mishavu imeshuka...kila mwanamke anayemwona lazima amkonyeze( had mabeki 3 wa forest wanaipata hii )..sijui ana pepo gani huyu mzee! Naandika haya alikua jirani yangu so namaanisha!
Ntampga pic najuaga jiwe lake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh hatareeeh sanaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee mam nimecheka afu kwa sauti kubwa, kukonyezwa kwa beki 4 we ukasikitika.Yes...anakonyeza Kama anafumba macho yote utacheka...anakonyeza kila mwanamke anayemwona nadhani...maana alimkonyeza had bek 3 wangu. Nikabaki nasikitika sana
Sema we inaonekana mtoto...humfahamu huyu baba...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee mam nimecheka afu kwa sauti kubwa, kukonyezwa kwa beki 4 we ukasikitika.
Duuuuuh hatareeeh sanaaah, kweli simfahamu namsikia tu,Sema we inaonekana mtoto...humfahamu huyu baba...
1 anatisha balaa usoni .
2.ana kitambii ..Sasa mm kabeki 3 kangu kalikua slim balaa. Nkawaza Sana anataka Nini pale
NimechekaYes...anakonyeza Kama anafumba macho yote utacheka...anakonyeza kila mwanamke anayemwona nadhani...maana alimkonyeza had bek 3 wangu. Nikabaki nasikitika sana
😆😆😆😆Yuko wapi Zakia Meghji aliyemwambia Shigongo kunywa maji mwanangu wakati anadai pesa zake chamani?
OoohYuko wapi jiwe?? (hili swali nimelileta in advance)