Wako wapi wale waliokuwa wanatetea umeme wa maji utakuwa bei rahisi?

wakafikia hatua wakasema kupikia umeme kutakuwa nafuu kuliko gharama gesi na mkaa.
Walaaniwe wote
 
Jiulize kwanza ye bado yupo?? Si kila mtu anaweza kubeba maono..
 
Sijui kwanini wajinga wana penda kuwabishia wenye akili
 
Unakumbuka pia mradi wa gesi asilia ya Mtwara ulipoanza mbwembwe zilivyokuwa? Leo husikii tena mambo kama yale yaliyokuwa yakizungumuzwa wakati ule. Huwa tunaweka ushabiki mwingi kwenye mambo ya kitaalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…