kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
abby bado yupo choice fmHabari za jpil wapendwa?? Kuna watu ambao walikuwa ni wabunifu na wapo safi sana katika shughuri zao.nazungumzia watangazaji na madj ambao walijizolea umaarufu sana ila kwa sasa hawajulikani walipo,tafadhari kama unafahamu walipo hawa watu tujuzane ili kama bado wanaendelea na kazi zao niweze kuwasikiliza huko walipo
1πJ JEFF JERRY alikuwa ni dj wa kiss fm na RFA
2:UNCLE SAM alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm na RFA
3:KID BWAY alikuwa ni mtangazaji wa RFA
4:JOACHIM MUNGARUGULU(JML) alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm
5πJ MAFUVU alikuwa ni dj wa EA radio
6πJ MURI B alikuwa ni dj wa clouds fm
7:TAYANA a.k.a MISS TZE alikuwa ni mtangazaji wa clouds fm
8:EZDEN THE ROKER alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm
9:TANDY alikuwa ni mtangazaji wa choice fm
10:STEVE KAFAYA alikuwa mtangazaji wa kiss fm baadae EA radio
11:ABBY na CHRIS walikuwa ni watangazaji wa Big easy pale choice fm
12:SEBO alikuwa ni mtangazaji pale EA radio.
Hawa watu nilikuwa nawapenda sana kazi zao wapo wapi
sebo yupo e.fm
tayana mara ya mwisho alikuwa times fm ila cjamckia kitambo
mafuvu n dj wa shuguhuli maalumu