Wako wapi watu hawa? Jamii inawamiss sana

Wako wapi watu hawa? Jamii inawamiss sana

Habari za jpil wapendwa?? Kuna watu ambao walikuwa ni wabunifu na wapo safi sana katika shughuri zao.nazungumzia watangazaji na madj ambao walijizolea umaarufu sana ila kwa sasa hawajulikani walipo,tafadhari kama unafahamu walipo hawa watu tujuzane ili kama bado wanaendelea na kazi zao niweze kuwasikiliza huko walipo
1😀J JEFF JERRY alikuwa ni dj wa kiss fm na RFA

2:UNCLE SAM alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm na RFA

3:KID BWAY alikuwa ni mtangazaji wa RFA

4:JOACHIM MUNGARUGULU(JML) alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm

5😀J MAFUVU alikuwa ni dj wa EA radio

6😀J MURI B alikuwa ni dj wa clouds fm

7:TAYANA a.k.a MISS TZE alikuwa ni mtangazaji wa clouds fm

8:EZDEN THE ROKER alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm

9:TANDY alikuwa ni mtangazaji wa choice fm

10:STEVE KAFAYA alikuwa mtangazaji wa kiss fm baadae EA radio

11:ABBY na CHRIS walikuwa ni watangazaji wa Big easy pale choice fm

12:SEBO alikuwa ni mtangazaji pale EA radio.

Hawa watu nilikuwa nawapenda sana kazi zao wapo wapi
abby bado yupo choice fm

sebo yupo e.fm

tayana mara ya mwisho alikuwa times fm ila cjamckia kitambo

mafuvu n dj wa shuguhuli maalumu
 
JML alifariki, Stive kafire ata mm namic kwel cjui yupo wap uyu mtu, Jeff Jerry bado yupo kiss FM , ezden haeleweki ana puyanga tu
 
kidbway yupo redio mpya jijini mwanza inaitwa lake fm ndio mkurugenzi wa vipindi
 
...ABBY yuko Choice...
...Criss yuko Geita
...Tandy anafanya shughuli zake binafsi
 
Habari za jpil wapendwa?? Kuna watu ambao walikuwa ni wabunifu na wapo safi sana katika shughuri zao.nazungumzia watangazaji na madj ambao walijizolea umaarufu sana ila kwa sasa hawajulikani walipo,tafadhari kama unafahamu walipo hawa watu tujuzane ili kama bado wanaendelea na kazi zao niweze kuwasikiliza huko walipo
1😀J JEFF JERRY alikuwa ni dj wa kiss fm na RFA

2:UNCLE SAM alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm na RFA

3:KID BWAY alikuwa ni mtangazaji wa RFA

4:JOACHIM MUNGARUGULU(JML) alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm

5😀J MAFUVU alikuwa ni dj wa EA radio

6😀J MURI B alikuwa ni dj wa clouds fm

7:TAYANA a.k.a MISS TZE alikuwa ni mtangazaji wa clouds fm

8:EZDEN THE ROKER alikuwa ni mtangazaji wa kiss fm

9:TANDY alikuwa ni mtangazaji wa choice fm

10:STEVE KAFAYA alikuwa mtangazaji wa kiss fm baadae EA radio

11:ABBY na CHRIS walikuwa ni watangazaji wa Big easy pale choice fm

12:SEBO alikuwa ni mtangazaji pale EA radio.

Hawa watu nilikuwa nawapenda sana kazi zao wapo wapi
Ni jamii inawamiss au wewe ndo unawamiss..?
 
Daah..Tayana...Nimemkumbuks..kuna sauti zingine za watangazaji ukizisikia hutaki mziki wa tangazo liwekwe.
 
Back
Top Bottom